Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
😍Bodi nzito sana imejaa watu weledi
😍Bodi nzito sana imejaa watu weledi
Noma !Wenye nchi wameingia kilingeni baada ya walibatizwa kuwa 'washamba' kushindwa kwenda na kasi ya "Mapinduzi ya Nne ya Viwanda"
Hakika ....Naona makamba amewakumbuka vijana wenzie.Hao Mafuru na Mchechu ni CEOs waliong'ara sana na kuleta mapinduzi kwenye taasisi walizo wahi kuendesha. Sema siasa pia iliwaingilia mno kiasi wakashindwa kuhimili,na kuathiriwa na uadirifu
Team ile ya awamu ya nne iliyopanyangaliwa inarudishwa kwa upepo wa kusiTupambane jamani
Watu wanarudi wale wale kama vile watu hawapo
Kwa shirika lenye changamoto Kama TANESCO...bora ya hao...kuliko usemao WAWEPO WOTE DAMU NYINGINE MPYA....ukiweka hisia pembeni utauona UHALISIA....ndani ya hiyo timu wako wapya wachache.....Hivi hakuna watu wengine zaidi ya Hawa kina Mafuru,na Mchechu?
Sina ubaya nao,lakini Hawa wameishakuwa watumishi wa umma kwa muda mrefu,kwanini usiingize damu nyingine zenye uzoefu zaidi.
Mbona watu wapo kibao.
Bodi za Tanzania hazinaga ufanisi ndio maana, likumbuke hilo. Sio za kufanya applications as a result wanateuana watumishi wa wastaafu na wasiku nyingi serikalini na taasisi zake plus wafanyabishara maarufu.Hivi hakuna watu wengine zaidi ya Hawa kina Mafuru,na Mchechu?
Sina ubaya nao,lakini Hawa wameishakuwa watumishi wa umma kwa muda mrefu,kwanini usiingize damu nyingine zenye uzoefu zaidi.
Mbona watu wapo kibao.
Mkuu hao usemao WALICHAFUKA KIHISIA NA KISIASA....huo ndio ukweli.....Hapo kuna kama majina manne makubwa yananitia mashaka sana na uadilifu wao kuanzia Mchechu,Mafuru,Maajar na Mzee Gachuma naona kama ni watu wa fursa zaidi,najua huyo mtoto wa Bakhressa hana njaa na hao wengine siwajui sana.
Bodi za Tanzania hazinaga ufanisi ndio maana, likumbuke hilo. Sio za kufanya applications as a result wanateuana watumishi wa wastaafu na wasiku nyingi serikalini na taasisi zake plus wafanyabishara maarufu.
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Kumbe siasa iliathiri uadilifu waoNaona makamba amewakumbuka vijana wenzie.Hao Mafuru na Mchechu ni CEOs waliong'ara sana na kuleta mapinduzi kwenye taasisi walizo wahi kuendesha. Sema siasa pia iliwaingilia mno kiasi wakashindwa kuhimili,na kuathiriwa na uadirifu
Unataka ukombozi gani ulio ILLUSSION?!!!Wenye inch wanarudi kingine taratibu. Inch hii itakombolewa na Mungu pekee.
Ukweli mtupu...Kumbe siasa iliathiri uadilifu wao
Mkwere hajali Nchi kukwama furaha yake nikuona watu wake wanarudi wote Sasa Mwanaidi wanini sasaHadi Mwanaidi Majaar !
Usimeze porojo za jiwe Mchechu na Mafuru jiwe aliwatoa sababu alikuwa na maslahi na nafasi zao alitaka aweke watu wakeHapo kuna kama majina manne makubwa yananitia mashaka sana na uadilifu wao kuanzia Mchechu,Mafuru,Maajar na Mzee Gachuma naona kama ni watu wa fursa zaidi,najua huyo mtoto wa Bakhressa hana njaa na hao wengine siwajui sana.
Kwanini hakushtakiwa nawe ni miongoni mwa watu mliomeza porojo za jiwe bila kufanya utafitiHuyu mchechu alivyokua D.G NHC alipiga madili ya Viwanja sana. Alikua ananunua viwanja kwa bei rahisi kupitia aliases then anaviuza kwa NHC kwa mabilioni, ama kweli safu nzima ya Mzee wa Msoga Itarudi yote. Yetu macho. Mama endelea kuupiga Mwingi.
Tatizo la Nchi hii ni CCCM siku mkigundua hii siri mtaacha kulalamikiahata mie nashangaa, wala keki ya Taifa ni walewale miaka nenda miaka rudi utadhani hakuna watz wengine wenye uwezo zaidi bhn!
Noma !