Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,601
217,992
Taarifa kamili hii hapa

Wajumbe_wa_Bodi_Tanesco%0A%0A%40tanesco_official_page_%0A%23MtanzaniaDigital.jpg
 
Huyu mchechu alivyokua D.G NHC alipiga madili ya Viwanja sana. Alikua ananunua viwanja kwa bei rahisi kupitia aliases then anaviuza kwa NHC kwa mabilioni, ama kweli safu nzima ya Mzee wa Msoga Itarudi yote. Yetu macho. Mama endelea kuupiga Mwingi.
 
Back
Top Bottom