Bank ipi mkuu ipo chini ya 13 perc.?wenzao washashuka chin ya13 kitambo
Bank ipi mkuu ipo chini ya 13 perc.?wenzao washashuka chin ya13 kitambo
Sina uelewa mzuri juu ya maswala ya Riba ,naomba msaada kwa mwenye ulewa , anisaidie ufafanuzi.
Weka a max of 6 months from todayIzo 10-11% zinakuja lini mwez na mwaka gan ili namimi nikachukue uwo mkopo
WAKIJIBU UNITAGSisi wapambanaji riba zetu zimeshuka kwa % ngapi?
Technically wata rise other hidden bank charges na insurance. Hakuna bepari anayetaka kuoata hasara . Ungiangalia inflation rate ya riba ya 13% kwa miaka saba? Lazima kuna kitu cha kijifikirisha
Kisa nini?CRDB ZENGWE TU HATA WASHUSHE HADI 0% SINA TIME NAO
hata reducing bado wana formula flan ya ujanja janja wahuni haoHiyo Mikopo Itatolewa Kwa Kwa Kanuni ya Flat Interest Rate Au Reducing Balance !!??
Labda wafanyakazi wa Kazakhstan, ila wa injii hii hata mshahara ukiongezeka buku 10 tu wanajaa kwenye mabenki kuomba mikopoNgoja tuone. Maana wafanyakazi wengi hawana hamu kabisa na mikopo ya mabenki kwa sababu imeshawapiga wamechakaa kabisa