Neema kwa wafanyakazi, CRDB imeshusha riba hadi 13% kwa wafanyakazi na 9% kwa wakulima

Hivi karibuni Bw. Nsekela wa CRDB alisema mabenki yatashusha riba na kweli ameishi kwenye maneno yake.

Leo CRDB wametangaza kushusha riba kutoka 20% hadi 9% kwa wakulima na kutoka 16% hadi 13% kwa wafanyakazi.

Ingawa riba bado ni kubwa sana ila kiukweli hii ni neema kwa wafanyakazi. Tunatarajia ama tunahitaji mikopo kwa wafanyakazi kushuka hadi tarakimu moja ama single digit na wakulima kushuka zaidi kwani hiyo ndio inaenda kwenye uchumi halisi.

Tunasubiri NMB, NBC, Stanbic, Standard chartered, TCB, Azania, na bank nyingine watangaze kushusha bei.

Jitihada hizi za kushusha riba alizianzisha Magufuli, kabla ya Magufuli wafanyakazi tulikua tunakopa kwa kati ya 22% hadi 26%. Baada ya Magufuli kuamua kushusha riba ya hati fungani za serikali kutoka 16% hadi 9% ndio bank zikaanza kushusha riba hadi kati ya 16% na 18% kwa wafanyakazi.

Tunaomba serikali iendelee kuzibana hizi bank zishushe riba za mikopo ili kukuza na kuchochea uchumi. Tuwapongeze pia serikali kupitia BOT kutoa fungu la kuziwezesha bank kwa riba ndogo na zenyewe zikopeshe kwa riba ndogo.

Safi sana CRDB Bank PLC.


Mama anazidi kuupiga mwingi Sana.
 
Hivi karibuni Bw. Nsekela wa CRDB alisema mabenki yatashusha riba na kweli ameishi kwenye maneno yake.

Leo CRDB wametangaza kushusha riba kutoka 20% hadi 9% kwa wakulima na kutoka 16% hadi 13% kwa wafanyakazi.

Ingawa riba bado ni kubwa sana ila kiukweli hii ni neema kwa wafanyakazi. Tunatarajia ama tunahitaji mikopo kwa wafanyakazi kushuka hadi tarakimu moja ama single digit na wakulima kushuka zaidi kwani hiyo ndio inaenda kwenye uchumi halisi.

Tunasubiri NMB, NBC, Stanbic, Standard chartered, TCB, Azania, na bank nyingine watangaze kushusha bei.

Jitihada hizi za kushusha riba alizianzisha Magufuli, kabla ya Magufuli wafanyakazi tulikua tunakopa kwa kati ya 22% hadi 26%. Baada ya Magufuli kuamua kushusha riba ya hati fungani za serikali kutoka 16% hadi 9% ndio bank zikaanza kushusha riba hadi kati ya 16% na 18% kwa wafanyakazi.

Tunaomba serikali iendelee kuzibana hizi bank zishushe riba za mikopo ili kukuza na kuchochea uchumi. Tuwapongeze pia serikali kupitia BOT kutoa fungu la kuziwezesha bank kwa riba ndogo na zenyewe zikopeshe kwa riba ndogo.

Safi sana CRDB Bank PLC.


Kama unapunguza riba kwenye mikopo ya kilimo na wafanyakazi Halafu kwenye biashara hakuna punguzo maana yake ni kwamba Bongo biashara haifanyi vizuri,bora watu waingie kwenye kilimo na kuajiliwa
 
SSH hajawahi shawishi jambo likafeli,matamko mengi Sana yaliwahi tolewa kwa mabenki kushusha riba,lakini Rais aliwataka washushe na wameshusha.
 
CRDB Bank malofa tuu, wameajiri majambazi, bank za ovyo hovyo kama CRDB mnatafuta nini? kwa wapuuzi hawa. Hili bank lifutwe tuu limejaa wafanyakazi vibaka, wahuni, matapeli, malimbukeni, majizi, wezi na majambazi tuu hamna lolote.
Mkuu kwanini unasema hivi? Ni juzi tu nimetoka kufungua account mpya CRDB baada ya kuwatumia NMB kwa muda mrefu kidogo.
 
Hivi karibuni Bw. Nsekela wa CRDB alisema mabenki yatashusha riba na kweli ameishi kwenye maneno yake.

Leo CRDB wametangaza kushusha riba kutoka 20% hadi 9% kwa wakulima na kutoka 16% hadi 13% kwa wafanyakazi.

Ingawa riba bado ni kubwa sana ila kiukweli hii ni neema kwa wafanyakazi. Tunatarajia ama tunahitaji mikopo kwa wafanyakazi kushuka hadi tarakimu moja ama single digit na wakulima kushuka zaidi kwani hiyo ndio inaenda kwenye uchumi halisi.

Tunasubiri NMB, NBC, Stanbic, Standard chartered, TCB, Azania, na bank nyingine watangaze kushusha bei.

Jitihada hizi za kushusha riba alizianzisha Magufuli, kabla ya Magufuli wafanyakazi tulikua tunakopa kwa kati ya 22% hadi 26%. Baada ya Magufuli kuamua kushusha riba ya hati fungani za serikali kutoka 16% hadi 9% ndio bank zikaanza kushusha riba hadi kati ya 16% na 18% kwa wafanyakazi.

Tunaomba serikali iendelee kuzibana hizi bank zishushe riba za mikopo ili kukuza na kuchochea uchumi. Tuwapongeze pia serikali kupitia BOT kutoa fungu la kuziwezesha bank kwa riba ndogo na zenyewe zikopeshe kwa riba ndogo.

Safi sana CRDB Bank PLC.


Good news kwa wakopaji
 
CRDB Bank malofa tuu, wameajiri majambazi, bank za ovyo hovyo kama CRDB mnatafuta nini? kwa wapuuzi hawa. Hili bank lifutwe tuu limejaa wafanyakazi vibaka, wahuni, matapeli, malimbukeni, majizi, wezi na majambazi tuu hamna lolote.
Una ushahidi na hayo uliyo yaandika hapo?
 
Hiyo Mikopo Itatolewa Kwa Kwa Kanuni ya Flat Interest Rate Au Reducing Balance !!??
The flat rate is calculated on the loan principal amount. The reducing balance rate method calculates the interest rate monthly on the outstanding loan amount. Reducing balance rates are generally higher than flat interest rates.
 
Back
Top Bottom