Utata wa riba katika mikopo inayotolewa na Mabenki

KB THE DON

JF-Expert Member
Aug 16, 2013
243
108
Habari za jioni ndugu Great thinkers itifaki zote zikizingatiwa niende kwenye maada moja kwa moja

Kwa siku za hivi karibuni niliona mahala kwamba riba za mikopo CRDB 13% wakati NMB NA NBC wao ni 16%. Shida ilitokea pale nimefika bank anafanya calculation akanambia ili nipate sh 12.9mil kwa rejesho la 308,0000 (na points) kwa miezi 60 ambapo unatakiwa urejeshe 18 mil na point sasa nikamuuliza hvi hiyo 16% wanaicalculate vip hapo kiuhalisia nilipewa maelezo ambayo sikuyaelewa mwisho nikaamua kuondoka nikatafakari upya

Alinambia wao bank wana kitu kinaitwa reducing balance rate na fixed balance rate

Swali langu je hiyo 13% au 16% ni maneno tu (lugha ya biashara) au ni uhalisia

Maana mimi nilienda bank na mtazamo kwamba 16% ya Tsh 12 ml nitachukua 0.16 x12mil. =1.92 mil hivyo ilipaswa kuwa na mkopo wa jumla pamoja na riba sh 13.92mil baada ya matarajio kupishana na nilichokikuta nimeona nirud kwanza nitafakari Hivyo mwenye uelewa naomba ufafanuzi Tafadhali

NB: mil=milioni
 
Habari za jioni ndugu Great thinkers itifaki zote zikizingatiwa niende kwenye maada moja kwa moja

Kwa siku za hivi karibuni niliona mahala kwamba riba za mikopo CRDB 13% wakati NMB NA NBC wao ni 16%. Shida ilitokea pale nimefika bank anafanya calculation akanambia ili nipate sh 12.9mil kwa rejesho la 308,0000 (na points) kwa miezi 60 ambapo unatakiwa urejeshe 18 mil na point sasa nikamuuliza hvi hiyo 16% wanaicalculate vip hapo kiuhalisia nilipewa maelezo ambayo sikuyaelewa mwisho nikaamua kuondoka nikatafakari upya

Alinambia wao bank wana kitu kinaitwa reducing balance rate na fixed balance rate

Swali langu je hiyo 13% au 16% ni maneno tu (lugha ya biashara) au ni uhalisia

Maana mimi nilienda bank na mtazamo kwamba 16% ya Tsh 12 ml nitachukua 0.16 x12mil. =1.92 mil hivyo ilipaswa kuwa na mkopo wa jumla pamoja na riba sh 13.92mil baada ya matarajio kupishana na nilichokikuta nimeona nirud kwanza nitafakari Hivyo mwenye uelewa naomba ufafanuzi Tafadhali

NB: mil=milioni
Tembelea Bank hata tano tofauti ukaulize swali Hilo Hilo. Mwishoni fanya maamuzi sahihi.
 
I=PRT/100

I= Interest(faida yao)
P= kiwango cha mkopo
T= Muda wa rejesho wa mkopo

Kwa mfano ukichukua mil 12 kwa rejesho la miezi 60 kwa riba ya 16% basi faida yao itakuwa:

I=(12,000,000×16×(60÷12))÷100
I=9,600,000/=

Kwa hiyo kidume utakuja kulipa 12m+9.6m=21.6m

Sina uhakika sana na hii formula kama inatumika kwenye ulimwengu huu wa nyama maana nimeisoma form 3 kitambo sana
 
I=PRT/100

I= Interest(faida yao)
P= kiwango cha mkopo
T= Muda wa rejesho wa mkopo

Kwa mfano ukichukua mil 12 kwa rejesho la miezi 60 kwa riba ya 16% basi faida yao itakuwa:

I=(12,000,000×16×(60÷12))÷100
I=9,600,000/=

Kwa hiyo kidume utakuja kulipa 12m+9.6m=21.6m

Sina uhakika sana na hii formula kama inatumika kwenye ulimwengu huu wa nyama maana nimeisoma form 3 kitambo sana
Maimivu zaidi
 
Maana yake ukikopa 12M Kwa Mwaka Moja ndio hizo asilimia ulizoambiwa.Ila Kwa miaka 5 lazima upigwe na kitu kizito.Nashauri tumia cash mkuu.Kama ni mshahara tumia cash bila kukopa Jenga taratibu,nunua gari taratibu Usiwe na haraka.
 
Maana yake ukikopa 12M Kwa Mwaka Moja ndio hizo asilimia ulizoambiwa.Ila Kwa miaka 5 lazima upigwe na kitu kizito.Nashauri tumia cash mkuu.Kama ni mshahara tumia cash bila kukopa Jenga taratibu,ninja gari taratibu Usiwe na haraka.
Huyu jamaa anazingua anashindwa kuuliza kama hiyo 16% riba ni ya mwaka ama vipi
 
Kwa ujumla, Riba za Mabenki ziko juu na hayo Mabenki hayalipi Riba hizo watu wakiweka deposits kwenye Mabenki Yao…
Huyu waziri mwenye dhamana bado yuko fofofo… usingizi mguu juu. Ameshindwa kusimamia kabisa sector hii…
Kwa wenzetu, hii interest ya 16% ni kausha damu, mtu akipatwa na shinikizo akafa, haya Mabenki yatakubari corporate manslaughter?
Ifike mahali hizi Riba ziwe pro wanyonge sio mashindano ya kufanya faida na kuwaumiza wanyonge walio desperate kichukua hiyo mikopo yenye Riba kausha damu…
Waziri mwenye dhamana, amuka toka huko uliko na fanya jambo Kwa maslahi mapana ya nchi… Amka kabla hujapigwa na kitu kizito…
 
I=PRT/100

I= Interest(faida yao)
P= kiwango cha mkopo
T= Muda wa rejesho wa mkopo

Kwa mfano ukichukua mil 12 kwa rejesho la miezi 60 kwa riba ya 16% basi faida yao itakuwa:

I=(12,000,000×16×(60÷12))÷100
I=9,600,000/=

Kwa hiyo kidume utakuja kulipa 12m+9.6m=21.6m

Sina uhakika sana na hii formula kama inatumika kwenye ulimwengu huu wa nyama maana nimeisoma form 3 kitambo sana
Hii fomula huenda ni ya Uwongo maana naona kama haitumiki
 
Habari za jioni ndugu Great thinkers itifaki zote zikizingatiwa niende kwenye maada moja kwa moja

Kwa siku za hivi karibuni niliona mahala kwamba riba za mikopo CRDB 13% wakati NMB NA NBC wao ni 16%. Shida ilitokea pale nimefika bank anafanya calculation akanambia ili nipate sh 12.9mil kwa rejesho la 308,0000 (na points) kwa miezi 60 ambapo unatakiwa urejeshe 18 mil na point sasa nikamuuliza hvi hiyo 16% wanaicalculate vip hapo kiuhalisia nilipewa maelezo ambayo sikuyaelewa mwisho nikaamua kuondoka nikatafakari upya

Alinambia wao bank wana kitu kinaitwa reducing balance rate na fixed balance rate

Swali langu je hiyo 13% au 16% ni maneno tu (lugha ya biashara) au ni uhalisia

Maana mimi nilienda bank na mtazamo kwamba 16% ya Tsh 12 ml nitachukua 0.16 x12mil. =1.92 mil hivyo ilipaswa kuwa na mkopo wa jumla pamoja na riba sh 13.92mil baada ya matarajio kupishana na nilichokikuta nimeona nirud kwanza nitafakari Hivyo mwenye uelewa naomba ufafanuzi Tafadhali

NB: mil=milioni

Na hio 18Mil hujaweka administration fee 1% na Insurance ya mkopo kwa miaka 5.! Kama ww ni mtumishi chukua mkopo wa muda mfupi kuanzia mwaka mmoja maximum mitatu tu.!

Mikopo ya muda mrefu ni kama jela sometimes
 
Mkuu mabank mengi yanatumia Mfumo wa Calculator ya EMI kupigia hesabu mikopo Yao.

Mimi kabla sijakopa nilipiga hesabu Kwa calculator ya EMI na hesabu zilikuja Sawa na za bank.
Hii ipoje mkuu hebu fafanua kidogo
 
Habari za jioni ndugu Great thinkers itifaki zote zikizingatiwa niende kwenye maada moja kwa moja

Kwa siku za hivi karibuni niliona mahala kwamba riba za mikopo CRDB 13% wakati NMB NA NBC wao ni 16%. Shida ilitokea pale nimefika bank anafanya calculation akanambia ili nipate sh 12.9mil kwa rejesho la 308,0000 (na points) kwa miezi 60 ambapo unatakiwa urejeshe 18 mil na point sasa nikamuuliza hvi hiyo 16% wanaicalculate vip hapo kiuhalisia nilipewa maelezo ambayo sikuyaelewa mwisho nikaamua kuondoka nikatafakari upya

Alinambia wao bank wana kitu kinaitwa reducing balance rate na fixed balance rate

Swali langu je hiyo 13% au 16% ni maneno tu (lugha ya biashara) au ni uhalisia

Maana mimi nilienda bank na mtazamo kwamba 16% ya Tsh 12 ml nitachukua 0.16 x12mil. =1.92 mil hivyo ilipaswa kuwa na mkopo wa jumla pamoja na riba sh 13.92mil baada ya matarajio kupishana na nilichokikuta nimeona nirud kwanza nitafakari Hivyo mwenye uelewa naomba ufafanuzi Tafadhali

NB: mil=milioni
Ulikuwa Sawa sema hiyo 1.92 ml ni per annum so ×5 to get almost 9.6 ml as their interest.
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Back
Top Bottom