Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,702
- 3,834
Kwahasira kibri chuki na udikteta aliouonyesha juzi namkumbusha kwamba
"Cheo ni dhamana na hatadumu nacho"awaulize Nape na Muhongo pia Kitwanga
Tena Nape ndani ya chama hiki pendwa nikama mzawa na Ndugai ni kama mpitanjia
Namshauri amuombe mungu ampunguzie hasira na ulevi wa madaraka
"Cheo ni dhamana na hatadumu nacho"awaulize Nape na Muhongo pia Kitwanga
Tena Nape ndani ya chama hiki pendwa nikama mzawa na Ndugai ni kama mpitanjia
Namshauri amuombe mungu ampunguzie hasira na ulevi wa madaraka
nilikuwa nimenuna imebidi tu nismile