Rajikumar Ashoka
Senior Member
- Jun 3, 2017
- 150
- 91
Ww unadhani mawazo yako unaweza kuwaingiza watu wenye akili zao timamu, washawishi punguani wenzako na tukikufatilia ww hata familia yako unaichonganisha mchonganishi mkubwa ww
Pamoja na kujaribu kupotosha, mngonjwa anatakiwa akatibiwe haraka.Chadema inatakiwa ijinusuru yenyewe kutokana na kuendelea kutekeleza Sera ya Kukumbatia na kutetea Ufisadi. Jana mjini Moshi katika Msiba wa Dokta Ndesa Pesa (R.I.P) Lowasa amesema na kutangaza yeye ni mgombea Urais 2020. Kama Chama kimemuuzia Mwanachama nafasi ya Kugombea Urais, sasa hawa vijana wanaouruka sarakasi za kutaka Urasi nadhani wataitwa Maadui wa Chadema.
Kuanzia wiki ijayo pale tutamuweka Dr Tulia ,ili roho zenu zitulieWaombe na ridhaa ya mahakama ili Spika achunguzwe afya yake ya akili na kimwili vizuri .
Mtu anayekwamisha maendeleo ya nchi kwa kuzuia mawazo mbadala bungeni awekwe kwenye kundi la maadui wa nchi hii .
Ndugai amebainika kuchukua kanuni za nyumbani kwake na kuwafungia wabunge wawili wa Chadema , Haikubaliki .
Kamati kuu ya Chadema iliwahi kuipa adhabu ndogo tu TBC 1 , ilihamasishwa wananchi kote nchini wasiitazame TV hiyo , matokeo yake mpaka leo Tbc imekosa watazamaji , kiasi ambacho hata ukipeleka Tangazo la kifo unaweza kukuta unamzika Marehemu peke yako , kwa vile hakuna atakayepata taarifa maana wananchi hawatazami TBC .
Ni vema KAMATI KUU YA CHADEMA mkalichukua hili ili kunusuru nchi .
Bunge lisipoonyeshwa live,mnalalamika wakati TBC ndo mwonyeshaji Mara hatuanglii TBC bavicha bwanaMtu anayekwamisha maendeleo ya nchi kwa kuzuia mawazo mbadala bungeni awekwe kwenye kundi la maadui wa nchi hii .
Ndugai amebainika kuchukua kanuni za nyumbani kwake na kuwafungia wabunge wawili wa Chadema , Haikubaliki .
Kamati kuu ya Chadema iliwahi kuipa adhabu ndogo tu TBC 1 , ilihamasishwa wananchi kote nchini wasiitazame TV hiyo , matokeo yake mpaka leo Tbc imekosa watazamaji , kiasi ambacho hata ukipeleka Tangazo la kifo unaweza kukuta unamzika Marehemu peke yako , kwa vile hakuna atakayepata taarifa maana wananchi hawatazami TBC .
Ni vema KAMATI KUU YA CHADEMA mkalichukua hili ili kunusuru nchi .
Huna hoja wewe Mbuni, Nakukumbusha tu mwaka 2015 baadhi ya WanaSIHASA waliponda Afya ya Lowassa eti mgonjwa akatibiwe na maneno ya kejeli mengi kwa kujiona wao wana afya zilizo bora duniani. Hata hivyo Mwenyezi mungu ni Mkubwa, tunashuhudia sasa hivi Mhe Lowassa anahudhuria misiba ya baadhi ya Wanafiki waliomkejeli na kumuona atakufa wakati wowote.Pamoja na kujaribu kupotosha, mngonjwa anatakiwa akatibiwe haraka.
Mbona umetumia mabavu sana kwa hoja laini tu ?Ww unadhani mawazo yako unaweza kuwaingiza watu wenye akili zao timamu, washawishi punguani wenzako na tukikufatilia ww hata familia yako unaichonganisha mchonganishi mkubwa ww
Lakini mleta hoja hakugusia afya ya mwili .Huna hoja wewe Mbuni, Nakukumbusha tu mwaka 2015 baadhi ya WanaSIHASA waliponda Afya ya Lowassa eti mgonjwa akatibiwe na maneno ya kejeli mengi kwa kujiona wao wana afya zilizo bora duniani. Hata hivyo Mwenyezi mungu ni Mkubwa, tunashuhudia sasa hivi Mhe Lowassa anahudhuria misiba ya baadhi ya Wanafiki waliomkejeli na kumuona atakufa wakati wowote.
Narudi kwako Mbuni Jike., je wewe umecheki afya yako na kabla ya kumnyooshea kidole mwenzako ?
Jamani maendeleo yanakwamishwa kwa kukosa kuangalia vipindi vya bunge?unataka tuangalia mipasho,matusi ya akina Bulaya ,Halima na timu ya wabunge wa chadema ndio roho yako iwe kwatu.Maendeleo hayaji kwa kuangalia vipindi vya bunge nyie wana Chadema,maendeleo yanaletwa kwa kufanya kazi,mnakoelekea siko mumepoteza dira.Mtu anayekwamisha maendeleo ya nchi kwa kuzuia mawazo mbadala bungeni awekwe kwenye kundi la maadui wa nchi hii .
Ndugai amebainika kuchukua kanuni za nyumbani kwake na kuwafungia wabunge wawili wa Chadema , Haikubaliki .
Kamati kuu ya Chadema iliwahi kuipa adhabu ndogo tu TBC 1 , ilihamasishwa wananchi kote nchini wasiitazame TV hiyo , matokeo yake mpaka leo Tbc imekosa watazamaji , kiasi ambacho hata ukipeleka Tangazo la kifo unaweza kukuta unamzika Marehemu peke yako , kwa vile hakuna atakayepata taarifa maana wananchi hawatazami TBC .
Ni vema KAMATI KUU YA CHADEMA mkalichukua hili ili kunusuru nchi .
Umeelewa mada kweli mjomba ?Jamani maendeleo yanakwamishwa kwa kukosa kuangalia vipindi vya bunge?unataka tuangalia mipasho,matusi ya akina Bulaya ,Halima na timu ya wabunge wa chadema ndio roho yako iwe kwatu.Maendeleo hayaji kwa kuangalia vipindi vya bunge nyie wana Chadema,maendeleo yanaletwa kwa kufanya kazi,mnakoelekea siko mumepoteza dira.
Nimeelewa sana hiyo mada ingawa ni ya kipuzi muraaUmeelewa mada kweli mjomba ?
Ulukani kumfwana uli NKINGA ! kangi unkinga gwa mfyamba , Ha! Ha! Ha!Nimeelewa sana hiyo mada ingawa ni ya kipuzi muraa
Nimejikuta nacheka tu !Huyu na anakosa la jaribio la MAUAJI alimpiga mgombea mwenzake na rungu kichwani akampotezea network mwenzake hadi leo sijui kama net inasoma huyo mshikaji,japo nilisikia alipoozwa kwa kupewa ukada nafasi ya uDC.
Hapo ndipo utaamini CCM na watu wake wote ni adui wa Watz.na siyo Ndugai TU wote hawafai.
Hivi ile mahakama ipo???Haijawahi kutokea mtu individual akatangazwa kuwa adui wa Taifa, mimi ninachokijua miongoni mwa maadui wa Taifa ni ufisadi ambao sasa hivi Chadema wanaukumbatia na kuutetea kama Sera ya Chama. Yaani kwa slogan hii " MAFISADI KWANZA, UTAIFA BAADAE".