Mtu mzima alishapewa maelekezo na namna ya kuliongoza .akili nyingine buana, kwani lowasa mnavyomuandana sio mtu individual?
Ni wakuogopwa kama ukoma huyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu mzima alishapewa maelekezo na namna ya kuliongoza .akili nyingine buana, kwani lowasa mnavyomuandana sio mtu individual?
Kwani adui mkubwa sio Ccm yenye wabunge wengi wenye ndimi za ndio.Aloandika hapa mpuuzi sana, yaan tuache adui wa taifa LISSU tumutuhumu NDUGAI?
Wengine tunakijua kama kikundi cha mauaji kilicho na usajili wa kudumu na baraka zote za mkemia
Haitambadilisha kuwa mwehu.Leo unamuita mwehu, akitangaza kuja chadema utamuita Mungu, ngedere wewe
Shetani hajawahi kumshinda Mungu , ukae ukilijua hili .Aloandika hapa mpuuzi sana, yaan tuache adui wa taifa LISSU tumutuhumu NDUGAI?
Walizoe kuongoza Baba zetu kwa mazoea sasa wamebaki na kuongoza kwa jeuri ambao ndo mwisho wa akili zao walizobakia nazo.Shetani hajawahi kumshinda Mungu , ukae ukilijua hili .
Taarifa zinadokeza kwamba Ndugai ndiye Mwanaccm aliyeumia sana kuliko wote kuona Nyalandu akijiuzulu kwa amani , wakati yeye ALITAKA KUUA MTU kwa sababu za ubunge .Walizoe kuongoza Baba zetu kwa mazoea sasa wamebaki na kuongoza kwa jeuri ambao ndo mwisho wa akili zao walizobakia nazo.
Mwisho wa jeuri ni janga la taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kweli kuna wengine wako njia kuondoka ina maana tutaumia sana ktk changu ccmTaarifa zinadokeza kwamba Ndugai ndiye Mwanaccm aliyeumia sana kuliko wote kuona Nyalandu akijiuzulu kwa amani , wakati yeye ALITAKA KUUA MTU kwa sababu za ubunge .
Jiandae tuKama kweli kuna wengine wako njia kuondoka ina maana tutaumia sana ktk changu ccm
Hatuna ujanja kwani alilodhamiria binadamu ndilo jibu lake. Lakini kila zama na kitabu chake kwa hiyo kuondoka kwao ina bidi kwani Wabunge wengi wanawasiwasi na wakuu wa mikoa na wilaya kuwa ndo watakao gombea hayo majimbo. Ndo maana wabunge wengi wanahofia kasi ya hawa watiifu ambao ndio watakao iasisi ccm mpya ili kuua kabisa ccm wanamtandao.Jiandae tu
Chadema bana mlimuita luwasa adui leo kanunua chama bei chee mnamuita baba wa taifa wa chadema.
Chadema bana mlimuita luwasa adui leo kanunua chama bei chee mnamuita baba wa taifa wa chadema.