Chadema inatakiwa ijinusuru yenyewe kutokana na kuendelea kutekeleza Sera ya Kukumbatia na kutetea Ufisadi. Jana mjini Moshi katika Msiba wa Dokta Ndesa Pesa (R.I.P) Lowasa amesema na kutangaza yeye ni mgombea Urais 2020. Kama Chama kimemuuzia Mwanachama nafasi ya Kugombea Urais, sasa hawa vijana wanaouruka sarakasi za kutaka Urasi nadhani wataitwa Maadui wa Chadema.Hoja yako ni muflisi .
Kumbuka alimpiga mgombea mwenzake huko kwao na akazimia lknmanyangumi ccm walipotezeahuyu mtu aliwachochea walinzi wamfanyie fujo mnyika,ana jazba na hafai kuwa kwenye kiti
Mtu anayekwamisha maendeleo ya nchi kwa kuzuia mawazo mbadala bungeni awekwe kwenye kundi la maadui wa nchi hii .
Ndugai amebainika kuchukua kanuni za nyumbani kwake na kuwafungia wabunge wawili wa Chadema , Haikubaliki .
Kamati kuu ya Chadema iliwahi kuipa adhabu ndogo tu TBC 1 , ilihamasishwa wananchi kote nchini wasiitazame TV hiyo , matokeo yake mpaka leo Tbc imekosa watazamaji , kiasi ambacho hata ukipeleka Tangazo la kifo unaweza kukuta unamzika Marehemu peke yako , kwa vile hakuna atakayepata taarifa maana wananchi hawatazami TBC .
Ni vema KAMATI KUU YA CHADEMA mkalichukua hili ili kunusuru nchi .
Warudishwe hospitali kama hawajapona.Wengine wagonjwa jamanii tuwasamehe tu
Ujinga wake anajiona mjanja wakati daudi alitukana bunge na yule wa arusha lkn aliishia kuwaonya ila hawa waleta changamoto za kweli wanawasimamishaTrue ! Na kuna taarifa kwamba waliosuasua kutii maagizo ya kinyama ya Ndugai wameondolewa .
Atangazwe na nani, maana taifa si la Chadema peke yenu!Mtu anayekwamisha maendeleo ya nchi kwa kuzuia mawazo mbadala bungeni awekwe kwenye kundi la maadui wa nchi hii .
Ndugai amebainika kuchukua kanuni za nyumbani kwake na kuwafungia wabunge wawili wa Chadema , Haikubaliki .
Kamati kuu ya Chadema iliwahi kuipa adhabu ndogo tu TBC 1 , ilihamasishwa wananchi kote nchini wasiitazame TV hiyo , matokeo yake mpaka leo Tbc imekosa watazamaji , kiasi ambacho hata ukipeleka Tangazo la kifo unaweza kukuta unamzika Marehemu peke yako , kwa vile hakuna atakayepata taarifa maana wananchi hawatazami TBC .
Ni vema KAMATI KUU YA CHADEMA mkalichukua hili ili kunusuru nchi .
Nonsense kwani nyie dodoma mlichofanya ni nini? Wewe shughulika na vyeti vya noniino na rambirambi tu. Hayo waachie wenyeweChadema inatakiwa ijinusuru yenyewe kutokana na kuendelea kutekeleza Sera ya Kukumbatia na kutetea Ufisadi. Jana mjini Moshi katika Msiba wa Dokta Ndesa Pesa (R.I.P) Lowasa amesema na kutangaza yeye ni mgombea Urais 2020. Kama Chama kimemuuzia Mwanachama nafasi ya Kugombea Urais, sasa hawa vijana wanaouruka sarakasi za kutaka Urasi nadhani wataitwa Maadui wa Chadema.
Hivi yule alieahidi kuwaundia mahakama maamlum mafisadi amekwamia wapi vile.Haijawahi kutokea mtu individual akatangazwa kuwa adui wa Taifa, mimi ninachokijua miongoni mwa maadui wa Taifa ni ufisadi ambao sasa hivi Chadema wanaukumbatia na kuutetea kama Sera ya Chama. Yaani kwa slogan hii " MAFISADI KWANZA, UTAIFA BAADAE".
Waulize TBC .Atangazwe na nani, maana taifa si la Chadema peke yenu!
Hahahaa You never cease to amaze me!Mtu anayekwamisha maendeleo ya nchi kwa kuzuia mawazo mbadala bungeni awekwe kwenye kundi la maadui wa nchi hii .
Ndugai amebainika kuchukua kanuni za nyumbani kwake na kuwafungia wabunge wawili wa Chadema , Haikubaliki .
Kamati kuu ya Chadema iliwahi kuipa adhabu ndogo tu TBC 1 , ilihamasishwa wananchi kote nchini wasiitazame TV hiyo , matokeo yake mpaka leo Tbc imekosa watazamaji , kiasi ambacho hata ukipeleka Tangazo la kifo unaweza kukuta unamzika Marehemu peke yako , kwa vile hakuna atakayepata taarifa maana wananchi hawatazami TBC .
Ni vema KAMATI KUU YA CHADEMA mkalichukua hili ili kunusuru nchi .
Tulifanya makosa makubwa sana .Mlipiga kelele saaana Tulia Ackson anawaonea wakati Ndugai yupo nje kwa matibabu mkamlilia sana arudi na aliporudi mkampelekea mashtaka yenu leo kawa mbaya!!?
Au uzuri akisimamia upande wenu tu?
Akisimamia ukweli upande mwingine imekuwa nongwa?
Ndugu mambo ya msingi yanayosemwa na magwandakhaki yanapingwa na kupotoshwa na kijanikibichi. Wabaya wa WaTz ni kijanikibichi. Wingi wao bungeni ndio umetufikisha hapa leo tunagombea mchanga. Wingi wao uliishapoteza maana kwa maendeleo ya nchi hii.Me siwezi kupigia chapuo wabunge wa kambi yoyote, tena kwa mawazo yangu bora bunge lote lifilie mbali.
Ni kama nawaona wanacheza upatu tu, wanakula kodi zetu kwa asilimia kubwa sana na eti baada ya miaka 5 wanajistaafisha na kujipa mafao lukuki bila hata chembe ya aibu.
Wakati watumishi kada nyingine hakuna fao la kujitoa. Hawana msaada wowote, si kijani wala kaki wote ni hopeless kabisa.
Eti wanawakilisha wanachi, kwa uwiano gani uliopo kati yao na sisi makapuku.
Me sipendi unafiki kama mleta post, tujiangaikieni tu wenyewe hatuna wawakilishi ila wanajiwakilisha wao na familia zao.