BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,720
- 6,528
Wewe ni tamako sana, unaleta mizaha kwebye mambo muhimu?Hilo nalo nendeni MKALITIZAME!
Wewe ni tamako sana, unaleta mizaha kwebye mambo muhimu?Hilo nalo nendeni MKALITIZAME!
Hisi nsio aina ya comment watawala wanazipenda na wanagongesheana Glass kabisaIpo siku na hii nchi itapigwa mnada kama alivyosema Ndugai.
Mmewakabishi wahuni nchi and then nyie mmejikita kwemye kuwatania, sasa endeleeni kuwa mnawatania muoneHii ndio gharama za kutawaliwa na ma- idiots.
Sasa fala nani kati yako na yeye? Ukipewa hint basi chunguza na kutafuta habari kamili, unataka mpaka utafuniwe?huyu fala kaleta habari as if kila mtu anaijua
umemaliza kila kituHii ndio gharama za kutawaliwa na ma- idiots.
Hivi imekamatwa ikiwa na abiria au ikiwa tupu?
Maana kama haina abiria inabidi waeleze ilikuwa imeenda kutafuta nini huko
PhD?Hii ndio gharama za kutawaliwa na ma- idiots.
Mfuasi wa Jiwe huyo kavurigwa.Sasa fala nani kati yako na yeye? Ukipewa hint basi chunguza na kutafuta habari kamili, unataka mpaka utafuniwe?View attachment 2432146
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
ya lini hii? enzi za magufuli au ni mpya?
Mali za umma ngapi zinatumika kunufaisha watu binafsi na mimi sinufaiki bali nalipa kodi tu?Mali ya umma unauliza wanafaidika nini??
Tena chakari, japo mimi natafuta upenyo nipotee nikaishi hata pale migori tu inatosha sanaLakini tukiwa hoi!
Huyo mpuuzi kakaririshwa ujinga.usitoe shutuma bila ushahidi
Tusianze kuangalia watanzania watashangilia!! Ni vzr kuangalia kama Taifa wap hua tunakosea hiyo ndio akili yenye afya.Kuna watu watashangilia. Na kuombea iwe kweli.
Usije kushangaa wapinzani wakabebeshwa lawama kama enzi za Jiwe.
Enzi za Magufuli wakina Lissu walikuwa wanafurahia hizi news, sahivi wako kimya
Lissu ni adui wa taifa hili, natamani taarifa hii isiwe ya kweli, kama ni kweli mtuhumiwa wa kwanza awe lissu
Ipo siku na hii nchi itapigwa mnada kama alivyosema Ndugai.
Taifa letu kusonga mbele itakua ngumu kinyama kwa akili kama hizi!! Badala ya kutafakar kama Taifa wapi tulikosea mpaka kufikia hatua hii!!Lissu ni adui wa taifa hili, natamani taarifa hii isiwe ya kweli, kama ni kweli mtuhumiwa wa kwanza awe lissu
Kwa hiyo habari mbaya kama hii kwa nchi wewe haikuhusu ndugu yangu? Hadi uambiwe tuungane? Hivi huku tunaelekea wapi? Badilika. Tanzania ikihujumiwa unahujumiwa wewe na mnyororo wa vizazi vyako mijini na vijijini. #Wake up. 🙏🙏🙏Hapo watasema tuungane kama taifa, na tuwe na uvumilivu na subra maana ndio kauli zao kama kuna matatizo