jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,706
- 7,597
Kisa alikata mirija yenu ya Asali ndiyo mnamuona hakua na utimamu!!? You sound like Makamba senior!! Minaki Boy!!Uko sahihi lakini Jiwe hakuwa mtu mwenye utimamu.
Kisa alikata mirija yenu ya Asali ndiyo mnamuona hakua na utimamu!!? You sound like Makamba senior!! Minaki Boy!!Uko sahihi lakini Jiwe hakuwa mtu mwenye utimamu.
Mimi sijawahj kuwa na mrija wa asali lakini ukweli lazima usemwe. Jiwe hakuwa timamu ndiyo maana alikuwa anaua raia wake.Kisa alikata mirija yenu ya Asali ndiyo mnamuona hakua na utimamu!!? You sound like Makamba senior!! Minaki Boy!!
Mbona wwe hajakuwa!? Au wwe siyo raia wake!!??Mimi sijawahj kuwa na mrija wa asali lakini ukweli lazima usemwe. Jiwe hakuwa timamu ndiyo maana alikuwa anaua raia wake.
Kuua raia wake haimaanishi aliua raia wote, lakini kama Mungu asingesikiliza vilio vya Watanzania wengi basi watu wengi mpaka sasa wangekuwa wameuliwaMbona wwe hajakuwa!? Au wwe siyo raia wake!!??
Naweza kusema una akili kama za Jiwe/KichaaKuna jambo watu huwa hawalijui kuhusu kuokotwa kwa maiti za watu kwenye viroba wakati wa jpm. Kiufupi wakati ule wasafirishaji wa wahamiaji haramu nao walibanwa sana kiasi cha kuwaficha wahamiaji hao katika mazingira magumu kiasi cha kukosa hewa na inatokea wanakufa wakiwa njiani na waliwekwa kwenye viroba na kutupwa mtoni. Ndomana katika maiti nyingi zilizookotwa kwenye viroba sijawahi kuona ndugu wametambua maiti hizo kwakuwa zikitoka nchi za jirani. Sasa tuache kumsingizia magu kuhusu maiti za viroba. Na sasa kama mazingira yakibanwa mtazikuta tu maiti vichakani
Huu utetezi ni rasmi wa dola? Mbona umechelewa ndugu? Wasio na imani nyingi watakuwa wanakosea wakihisi imechukua muda kuuchonga?Kuna jambo watu huwa hawalijui kuhusu kuokotwa kwa maiti za watu kwenye viroba wakati wa jpm. Kiufupi wakati ule wasafirishaji wa wahamiaji haramu nao walibanwa sana kiasi cha kuwaficha wahamiaji hao katika mazingira magumu kiasi cha kukosa hewa na inatokea wanakufa wakiwa njiani na waliwekwa kwenye viroba na kutupwa mtoni. Ndomana katika maiti nyingi zilizookotwa kwenye viroba sijawahi kuona ndugu wametambua maiti hizo kwakuwa zikitoka nchi za jirani. Sasa tuache kumsingizia magu kuhusu maiti za viroba. Na sasa kama mazingira yakibanwa mtazikuta tu maiti vichakani
Dawa ya deni ni kulipa tu, hakuna namna.
Braza huu mwenendo wa kesi nimefanikiwa kusoma. Itoshe kusema kwamba sisi ni wajinga wakubwa mno.So unaamini Jiwe alikuwa na akili kuliko wewe?
😂😂😂😂😂😂😂
Ndio Athari za kushabikia wawekezaj waje kuwekeza halafu wakija mnaposaini mikataba nao you do not read between the lines ; wenzenu wanawachomekea vipengele kwenye herufi ndogo na nyinyi kwa uvivu wenu wa kusoma au kwa 10% mnazohongwa mnasaini mikataba ambayo baadae inaumiza wananchi kwa kutakiwa kulipa maillions ya $$ kama adhabu kwa sababu ya ujinga wenu!!Tuishie kusema tu bureaucracy ya kiTanzania inatumaliza. Haiwezekani mtu aje na Marlboro halafu siku anaondoka anataka USD 240M. Eneo letu tumelitoa bure Yani. Aliyetuloga alikua na funguo.
Braza niishie kusema tu tuna wajinga kwenye maofisi. Mtu alikuja hakua na hata senti, akatoa wazo la kuanzisha kiwanda Cha sukari ili atwngeneze umeme tukamkubalia kwa sharti lazima Tanesco inunue.. Tukampa shamba hekta 22,000 za bure bila yeye kutupa sehemu kwenye mtaji. Halafu akataka tujikomiti kwenye kufinance mradi tukamkubalia. Siku Moja tukamwambia hujatimiza makubaliano tutakuondoa. Anakuja mtu mwingine anaandika barua oh tutakusaidia wakati Kuna aliyekwisha andika tunavunja mkataba. Tumeitwa mahakamani tukaenda bila kulipa Hela ili mapingamizi yetu yasikilizwe. Yani ni tafrani tupu. Technicality tulimwopigwa ni shauri ya kutokua na centre Moja inayoshughukikia mikataba na namna ya mawasiliano humo serikalini. Kwa vyovyote tulitakiwa kuwa either sehemu ya hukumu au lah. Shamba lenyewe ni hilo Bakhresa amejenga kiwanda Cha sukari. Ujinga ni kwamba Presidential Delivery Unit, wizara ya nishati, wizara ya ardhi, katibu mkuu kiongozi na TIC wote wanaandika barua. Kila mmoja kwa wakati wake. Yani ukisoma mwenendo wa kesi utashangaa mno.Ndio Athari za kushabikia wawekezaj waje kuwekeza halafu wakija mnaposaini mikataba nao you do not read between the lines ; wenzenu wanawachomekea vipengele kwenye herufi ndogo na nyinyi kwa uvivu wenu wa kusoma au kwa 10% mnazohongwa mnasaini mikataba ambayo baadae inaumiza wananchi kwa kutakiwa kulipa maillions ya $$ kama adhabu kwa sababu ya ujinga wenu!!
Unadhani wawekezaji wanakuja na masanduku ya hela? This is an expression of your stupidity. Kwenye dunia hii kutembea na fedha siyo kwamba ni ushamba tu bali hata sheria za fedha za kimataifa zinazuia. Ndiyo maana Airport lazima u declare unaingia na hela ngapi!!Tuishie kusema tu bureaucracy ya kiTanzania inatumaliza. Haiwezekani mtu aje na Marlboro halafu siku anaondoka anataka USD 240M. Eneo letu tumelitoa bure Yani. Aliyetuloga alikua na funguo.
Braza samahani sijatukana mtu. Unaweza nicorect bila kunitukana. Pia nimebahatika kusoma chanzo Cha kesi Toka siku ya kwanza mpaka wanapewa hiyo award. Tuna changamoto kwenye namna tunavtowasiliana na wawekezaji. Huwezi kutoa ardhi yako halafu usipewe umiliki hata kidogo. Huo ni upumbavu.Unadhani wawekezaji wanakuja na masanduku ya hela? This is an expression of your stupidity. Kwenye dunia hii kutembea na fedha siyo kwamba ni ushamba tu bali hata sheria za fedha za kimataifa zinazuia. Ndiyo maana Airport lazima u declare unaingia na hela ngapi!!
Nani mpumbavu sasa kati ya anayepoteza kesi ICSD na wewe uliyemfukuza mwekezaji bila kufuata taratibu?Braza samahani sijatukana mtu. Unaweza nicorect bila kunitukana. Pia nimebahatika kusoma chanzo Cha kesi Toka siku ya kwanza mpaka wanapewa hiyo award. Tuna changamoto kwenye namna tunavtowasiliana na wawekezaji. Huwezi kutoa ardhi yako halafu usipewe umiliki hata kidogo. Huo ni upumbavu.
Sasa 2016 Rais idiot aliyebatilisha umiliki wa mashamba ya miwa ni Magufuli, ulitaka Lissu afanyeje?Enzi za Magufuli wakina Lissu walikuwa wanafurahia hizi news, sahivi wako kimya