Mshauri wa Askofu mkuu wa Canterbury mh Job Ndugai ( MB)Ipo siku na hii nchi itapigwa mnada kama alivyosema Ndugai.
Agwe mbaha, ulihai, au bado uko Israel kutuombea tusipigwe mnada?
Kuna NOTICE ya kukamata ndege zote za Tanzania, wakapata ujumbe wakasema ndege injini ni mbovu hazitakiwi kuruka tena,Hv imekamatwa ikiwa na abiria au ikiwa tupu?
Maana kama haina abiria inabd waeleze ilikua imeenda kutafta nin huko
Acha uongo na upumbavu, mnafiki mkubwa wewe, thibitisha hapa kuwa Mr.Lissu alifurahia haya mambo, tuambiane ukweli sio unafiki, tuna deni basi tulipe au tuongee na wanaotudai the way forward kufikia mwafaka wa kulipa deni.Enzi za Magufuli wakina Lissu walikuwa wanafurahia hizi news, sahivi wako kimya
Njia ya muongo ni fupi.Kuna NOTICE ya kukamata ndege zote za Tanzania, wakapata ujumbe wakasema ndege injini ni mbovu hazitakiwi kuruka tena,
Wakati ndege zilinunuliwa mpya.
Jamani mmesahau?
Na hivi Chadema wako huko ughaibuni, yangu masikio, praise and worship team ikiamka tu, Chadema watakoma.Usije kushangaa wapinzani wakabebeshwa lawama kama enzi za Jiwe.
Na enzi zake wakina lissu wangejitokeza kupiga kelele, lakini leo wameufyta nakuimba mapambio ya mama anaupiga mwingi.kuna siku ndugai alisema nchi itapigwa mnada,matokeo yake mkaanza kumnanga.Enzi za Mwendazake, hili gazeti lingefungiwa.
Basi tuseme ndio walikuwa wapiga michongo ili zikamatweSIO kweli, muogope Mungu wako
Zeto problem solving skills na phd juu anywayHilo nalo nendeni MKALITIZAME!
Duh! Unaamini kabisa Kwa akili zako? Basi tuna safari ndefu saaaaaanaBasi tuseme ndio walikuwa wapiga michongo ili zikamatwe
Wanalamba Asali.Enzi za Magufuli wakina Lissu walikuwa wanafurahia hizi news, sahivi wako kimya!.
Wafurahie wasifurahie,wanafaidika nini na hiyo ndege?Kuna watu watashangilia. Na kuombea iwe kweli.
Hivi comment kama hizi huwa mnatoa bila kufikiri? Beberu gani aje kugombana na nchi omba omba? Yaani hata budget yako unakopeshwa au kupewa tu hlafu u-compete na bebeeru? GDP yako ni ngapi; your trade volume comparison by world standard ni negligible! my foot! kwani google mnaitumiaje; for watching porn!Wakati wa Mwendazake, tuliambiwa haya mambo yalikuwa yanatokea kwasababu Mwendazake alikuwa anapambana na mabeberu na mafisadi katika vita ya kiuchumi...