Ndege mpya za serikali ziko njiani kuja

Ndege mpya za serikali ziko njiani kuja

Kama utatulia kidogo na kufikiria anachojaribu kufanya JPM ni kupunguza gharama ya uendeshaji ili kufidia maendeleo. Wakati wa awamu ya nne mambo yalikuwa mabaya mno kiasi recurrent expenditure ilikuwa maradufu ya development expenditure. Jifunze utawala kidogo. Hakuna nchi iliyoendelea kwa kujali kulisha watu na kuwastarehesha tu, kulipa stahiki za wale nk. Kuna wakati lazima uwe katili na kutazama 'bigger picture'. Watakaokufa waache wafe ila watakaobaki na watakaozaliwa wataishi vizuri. Nchi zote zimejitolea mhanga, tena saa nyingine kwa thamani ya kutisha! Leo mwaisifu China lakini hujui katika miaka ya 60-70 zaidi ya Wachina milioni 200 walikufa katika Cultural Revolution (nenda kasome hiyo). Leo yamewafaa au la?
Maadamu kuna taswira nzuri ya mustakbali, acha JPM aminye tu.
Tatizo la Miafrika iko so selfish ...wataka wafaidi wao tu, tena hivi sasa! Hakuna kufikiria mustakbali wa nchi au kizazi kijacho. Mlistarehe sana nyie chini ya JK!
Kwa hili endelea JPM, minya hadi kijulikane!
Nadhan kuna uelewa tofauti ya dhana mzima ya ubanaji. Kuna vitu kweli amefanya ni vizur llkn mengine ni mabaya na hayataleta tija.unapobania watu shule, unatengeza Bomu. Kuna maaumuz mengi ameyafanya bila kuangalia effects zake na pia matamko mengi ya watendaji wake hayawez jenga zaid yatabomoa. Mfano wa makonda sio mtekelezaji ni mdomo tu.
 
Siku zikitoa Bongo nazima tv yangu siku nzima maana kufanya mambo bila priority ni zaidi ya kero na maudhi matupu.

Ni kero na maudhi kumsikia mtu anajisifu kununua ndege kwa cash wakati wanafunzi wanakosa mikopo,madaktari na waalimu hawajiiriwa,madawa hospitalini shida,watumishi stahiki zao hawalipwi,watu wamesitishiwa ajira zao,wahanga wa tetemeko wanateseka,n.k.
Kuandika kwenyewe shida
 
Mkuu jitahidi kusoma Na wacha kukariri.
Mtoa mada baada ya kuandika ameweka
Adresi ya kusoma zaidi.
Hiyo Bombadier ina oda nyingi kutoka mataifa mengi.Mfano Alaska airlines ambayo wamenunu Virgin America ni la 7 Kwa ukubwa huko USA wanazo Bombadier Q400 52 Na Makampuni mengi makubwa duniani wanazo.
Bei zao nzuri
Hayatumii mafuta sana
Zina tua kila aina ya airport

Nakushauri usome vizuri nilicho andika na sio unakimbilia kuleta lugha yako ya vijiweni, unaposema nakariri una maana gani? Amend your behaviour first.

Labda nikukumbushe kwamba nilizungumzia kuhusu jetplanes zinazo hundwa na kampuni ya Bombadier wewe unakimbilia kuzungumzia Turboprop driven planes - vitu viwili tofauti kabisa!!

Unashangaza kidogo, nani ambaye hajui kwamba turboprop engines zinatumia mafuta kidogo kuliko a pure gas turbine engines na hii hajalishi wahundaji wanatoka nchi gani -teknolojia ni zile zile.
 
Mpiga dili babaako, staki kusikia huu ungese, watu wanaumia mamamae halafu we unakuja na usengerema wa kusema wanaoumia ni wapiga dili,

Narudia tena: Mpiga dili baba ako boya ww.
Acha kutumia lugha za matusi. Nakushauri urudie kusoma sheria za Jamiiforums. Haturuhusu lugha za matusi na kashfa.
 
Acha ujinga wewe
Sawa. Vumilieni maumivu ya sindano lakini dawa inawaingia vizuri. Tulieni kimya kabisa. Mlizoea maisha ya ujanja ujanja. Kiyama chenu kimefika.Tumeziba mirija yote. Tumewakomesha kweli. Hakuna jinsi. Na mtanyooka tu.
 
Yaani hawa Fastjet waliowezesha % kubwa ya Watanzania kupanda ndege ndio unasema wakatafute pengine ? Ushajiuliza bila uwepo wao hali ingekuwaje ?

Aliyetuloga Watanzania sijui atafufuka lini

Sina tatizo na Magufuli kufufua shirika letu lakini nitakuwa mpumbavu nisipoheshimu revolution waliyoleta Fastjet kwenye airlines industry
Kweli kbs like 100 kwako
 
1480748979300.jpg
 
Juzi Msajili wa Hazina, Lawrence Mafuru amesema kupotea kwa fedha katika mzunguko kunasababishwa na serikali kupeleka fedha nyingi kwenye maendeleo kama kununua ndege na kujenga reli na Barabara. Matokeo yake siyo ya leo wala kesho. Mtasubiri sana

Tuko tayari kusubiri lakini nchi irudi katika uchumi endelevu na huu wa wapiga dili uwe historia.
 
Zote mbili zimegharimu takribani US$ 203 millioni tu. Kumbe tukiwadhibiti wezi through mikataba tata na ya kipuuzi, haya mambo yanawezekana
 
Yaani fastjet wanatangaza biashara mbaya kila siku sisi tunaongeza ndege mpya!

Moja ya sababu inayopelekea hiyo hali mbaya kwa fastjet ni kunyanganywa tonge (yani soko) pamoja na kuzidiwa ujanja mwingine wa kibiashara na ATCL. Kwa hiyo kwa ATCL mambo ni SUPER na kuongeza ndege hakukwepeki.

Msisahau kuwa baada Precision Air kukumbwa na madeni na hasara fastjet wakaja nchini na wakatumia hiyo loophole kuwapiku Precision Air, na leo hii fastjet yamewafika na Air Tanzania ndo hiyo ishafufuliwa na wenyewe ATCL watatumia hiyo loophole kuwatoa fastjet nje ya ulingo. Kwa kifupi hizo ndizo changamoto za biashara hazikwepeki.
 
Waliokumbwa na ttmeko bado wanalia halafu unatuletea story za ndege acha ukasuku. Leta Treni Dar mwanza tutakuelewa.
 
Very Good....naona watu wanasahau kuwa JPM anatekeleza ilani ya CCM..nunueni kitabu cha ilani ya CCM muangalie kitu gani anafanya...kwa jinsi anavyoenda atapata A kwenye utekelezaji wa ilani na hiyo itaiweka nchi katika level tofauti kabisa.
 
Wakati tunapambana kupata maendeleo ya vitu tukumbuke maendeleo ya watu. Maendeleo ya vitu ni Barabara, Reli, Ndege, Meli nk. Maendeleo ya watu ni Elimu bora kwa wote, Huduma bora za afya, Ajira, Makazi, Chakula nk.

Hayo maendeleo unayoyaita ya vitu na watu kwa taarifa yako hutegemeana, kwa hiyo taifa makini huendeleza kote kote na si kama unavyotaka wewe. Na mifano ya human capital development iliyokwisha fanyika mpaka sasa mbona ipo mingi au ulijisikia tu kulalamika.

Hii ni mifano michache: elimu bure kwanzia primary mpaka form four, mikopo ya zaidi ya bilioni 400 kwa wanafunzi wa elimu ya juu, madaktari wamepelekwa nje kujifunza utaalamu wa moyo, figo na ini na mfano mwingine ni huu wa TZ kupelekwa nje ya nchi kujifunza utaalamu wa mafuta na gesi ambao huko nyuma hawakuwa nao.
 
Back
Top Bottom