Ndege mpya za serikali ziko njiani kuja

Ndege mpya za serikali ziko njiani kuja

Uraisi wa spares kwa sababu ya economy of scale.Uraisi katika gharama za kufundishia marubani na mafundi, kwa sababu rubani wa bombardia hawezi rusha Boeing mpaka kwa mafunzo marefu,wakati ni mafupi kwa ndege zilizotengenezwa na kiwanda kimoja kwa sababu ya mfanano wa instruments na Aircraft systems .Utahitaji mafundi na marubani wachache kwa vile wanaweza zungushwa kiurahisi katika ndege zilizotoka Kwenye source moja. Uzoefu huja haraka zaidi kwa ndege zilizotoka kiwanda kimoja kwa hiyo rubani au fundi waweza kuhitimu haraka zaidi na wakawa na uwezo sana kwa sababu ya task repeatition.

Mkuu unaweza kutufafanulia kwa nini Mapilot wa ndege za vita uajiliwa kirahisi kuendesha ndege za kiraia?

Linapo kuja suala la Instruments/avionics zote zinafuata same basic principles bila kijali type ya ndege, instruments/avionics zinaweza kutofautiana kwenye display i.e analogue au digital (LCD) lakini marubani wenye uzoefu haziwapi shida ku adopt in no time.

Madhumuni ya mimi kuhoji kwa nini tunanunua ndege zote kutoka source moja nilikuwa na wasi wasi kwamba,je, kampuni ya kuhunda ndege ikifirisika ikafunga kiwanda sisi tutakuwa wageni wa nani - huo ndio ulikuwa wasi wasi wangu.
 
Mkuu unaweza kutufafanulia kwa nini Mapilot wa ndege za vita uajiliwa kirahisi kuendesha ndege za kiraia?

Linapo kuja suala la Instruments/avionics zote zinafuata same basic principles bila kijali type ya ndege, instruments/avionics zinaweza kutofautiana kwenye display i.e analogue au digital (LCD) lakini marubani wenye uzoefu haziwapi shida ku adopt in no time.

Madhumuni ya mimi kuhoji kwa nini tunanunua ndege zote kutoka source moja nilikuwa na wasi wasi kwamba,je, kampuni ya kuhunda ndege ikifirisika ikafunga kiwanda sisi tutakuwa wageni wa nani - huo ndio ulikuwa wasi wasi wangu.
Hili nalo ni neno
 
Tununue ya abiria 500 kabisa au haipo? ili tukomoane vizuri

Sio kukomoana ila tujitahidi kukumbuka na huduma zingine kama Elimu bora,Upatikanaji wa huduma bora za Afya,Mazingira rafiki kwa kilimo ikiwezekana cha umwagiliaji na Upatikanaji wa Ajira zenye staha.
 
Sio kukomoana ila tujitahidi kukumbuka na huduma zingine kama Elimu bora,Upatikanaji wa huduma bora za Afya,Mazingira rafiki kwa kilimo ikiwezekana cha umwagiliaji na Upatikanaji wa Ajira zenye staha.
Inabidi iwe hivo ila sasa inaonekana hizi ndege zinanunuliwa kwa kukomoana, maana wananchi wanalia njaa lakini bado ndege zinanuliliwa na mara hii atavunja benki kabisa
 
1481271640029.jpg
 
Siku zikitoa Bongo nazima tv yangu siku nzima maana kufanya mambo bila priority ni zaidi ya kero na maudhi matupu.

Ni kero na maudhi kumsikia mtu anajisifu kununua ndege kwa cash wakati wanafunzi wanakosa mikopo,madaktari na waalimu hawajiiriwa,madawa hospitalini shida,watumishi stahiki zao hawalipwi,watu wamesitishiwa ajira zao,wahanga wa tetemeko wanateseka,n.k.
Mm nilidhani unasema kwamba wafanyakazi hawalipwi mishahara yao, kumbe ww upo kwa minajili ya majungu.
 
Siku zikitoa Bongo nazima tv yangu siku nzima maana kufanya mambo bila priority ni zaidi ya kero na maudhi matupu.

Ni kero na maudhi kumsikia mtu anajisifu kununua ndege kwa cash wakati wanafunzi wanakosa mikopo,madaktari na waalimu hawajiiriwa,madawa hospitalini shida,watumishi stahiki zao hawalipwi,watu wamesitishiwa ajira zao,wahanga wa tetemeko wanateseka,n.k.
anavyojitoa ufahamu anatoa lawama zoote za elimu kwa mamlaka ya elimu ambayo kimsingi sidhani hata kama inapelekewa fungu la hela inayoweza kujenga madarasa nchi nzima,Vyoo n.k.
very sad
 
Kumbe ndo maana mkulu ziara yake ya kwanza ni kwa Kagame alijifunza kununua mandege tu bila kuangalia watapanda akina nani na kwa Uchumi upi? Na ndo najua sasa kwa nn Chato kunajengwa uwanja wa kimataifa. Sifa zingine jamani
 
Sio kukomoana ila tujitahidi kukumbuka na huduma zingine kama Elimu bora,Upatikanaji wa huduma bora za Afya,Mazingira rafiki kwa kilimo ikiwezekana cha umwagiliaji na Upatikanaji wa Ajira zenye staha.
Duuuh.., nimepemda hiyo ya ajira zenye staha
 
Back
Top Bottom