nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,638
- 20,252
Hata msemeje hayo madege atayannua tu,mikodi inaongezeka kila sehemu,wafanyabiashara wenye akili wanaondoka...kile kiwanja cha chato kinahitaji ndege za kutua kama hizi sababu fastjet au precision hawawezi peleka ndege zao kusikokua na faida.