Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,671
- 11,340
Uzuri ndege sio makande kwamba yatachacha biashara ikiwa mbaya una park au unapunguza safariYaani fastjet wanatangaza biashara mbaya kila siku sisi tunaongeza ndege mpya!
Uzuri ndege sio makande kwamba yatachacha biashara ikiwa mbaya una park au unapunguza safariYaani fastjet wanatangaza biashara mbaya kila siku sisi tunaongeza ndege mpya!
Wakati tunapambana kupata maendeleo ya vitu tukumbuke maendeleo ya watu. Maendeleo ya vitu ni Barabara, Reli, Ndege, Meli nk. Maendeleo ya watu ni Elimu bora kwa wote, Huduma bora za afya, Ajira, Makazi, Chakula nk.
Uzuri ndege sio makande kwamba yatachacha biashara ikiwa mbaya una park au unapunguza safari
Naanza kuelewa kwanini watanzania wengi ni mazezetaYaani fastjet wanatangaza biashara mbaya kila siku sisi tunaongeza ndege mpya!
KUTOKA WAPI!
Wakati tunapambana kupata maendeleo ya vitu tukumbuke maendeleo ya watu. Maendeleo ya vitu ni Barabara, Reli, Ndege, Meli nk. Maendeleo ya watu ni Elimu bora kwa wote, Huduma bora za afya, Ajira, Makazi, Chakula nk.
Mpiga dili babaako, staki kusikia huu ungese, watu wanaumia mamamae halafu we unakuja na usengerema wa kusema wanaoumia ni wapiga dili,Jamani nimeshasema mara nyingi hapa. Pesa huna wewe. Wengine tunazo, tena za kutosha tu. Mlizoea kupiga dili, ngoja mnyooshwe kwanza. Na mtanyooka tu. Maana hakuna jinsi nyingine. Mtanyooshwa tu. Na mnyooshwe tu.
Ndiyo matatizo ya one man show Mkuu. Hakuna vikao vya majadiliano kupitia Baraza la Mawaziri ili kuamua vipaumbele vya nchi yetu kati ya sasa na 2020. Mtu anakurupuka tu na kuja na kipaumbele cha kununua ndege bila kuangalia kama kuna wateja wa kutosha nchini wa kutumia usafiri huo. Juzi tu hapa kulikuwa na uzi kuhusu wenye mabasi nchini kuanza kuuza mabasi yao kwa kuwa biashara hakuna kabisa nchini. Sasa kama usafiri wa mabasi nchni unadidimia kwa kukosa wateja huo usafiri wa ndege ambao ni ghali zaidi ukilinganisha na wa mabasi wateja watatoka wapi!? La Kuvunda siku zote........
Mpiga dili babaako, staki kusikia huu ungese, watu wanaumia mamamae halafu we unakuja na usengerema wa kusema wanaoumia ni wapiga dili,
Narudia tena: Mpiga dili baba ako boya ww.
Hivi na ile sukari ilifikia wapi?Serikali ya Tanzania imesaini mkataba na kampuni ya kutengeneza ndege ya Bombardier yenye makao makuu nchini Canada kununua ndege tatu mpya miezi michache tangu iliponunua ndege mbili mpya za Bombardier Q400.
Ndege za CS300 zinauwezo wa kubeba abiria 150 kila moja tofauti na Q400 ambayo inabeba abiria 70.
Mkataba huo mpya unahusisha ununuzi wa ndege moja aina Bombardier Q400 inayotarajiwa kuwasili nchini mwakani na ndege nyingine mbili ni Bombardier CS300 ambazo haijajulikana zitawasili lini.
========
Bombardier CSeries will sell both the Government of Tanzania, which represents its first order in seven months for its new commercial aircraft.
In total, the transaction includes two CS300 and a Q400 aircraft. According to list prices, the order is valued at 203 million US.
The aircraft will be operated by Air Tanzania, the national airline of the United Republic of Tanzania.
The last order of CSeries was in April, when the US carrier Delta Air Lines has confirmed the purchase of 75 CS100 aircraft, a firm order valued according to catalog prices, is estimated at US $ 5.6 billion .
Monday, Bombardier had delivered its first CS300 – the largest device family CSeries aircraft – the Latvian carrier airBaltic, its launch customer.
![]()
This aircraft, which can carry up to 160 passengers, must make its first commercial link between Riga and Amsterdam on 14 December.
Overall, airBaltic ordered 20 Bombardier CS300 devices.
So far, the aircraft manufacturer and rolling stock received 360 firm orders for its new aircraft, including 235 for the CS300.
Source: The Quebec Telegram
unaweza kuwa mmoja kati yaoNaanza kuelewa kwanini watanzania wengi ni mazezeta
Ipo tu siku tutaelewa,ni rahisi sana kukaa chini na kuandika maandishi,ni rahisi sana kulalamikia kila jambo.tuwape muda tuache kupiga mayowe
wewe unafikiria watanzania watakula hayo ma mitumba kutoka Rwanda na kufanyiwa servic huko.
swissme
Hata wanavyo zipigia debe ndege za Bombadier mpaka unabaki unashangaa!!! Mbona awasemi chochote kuhusu ndege za ATR ambazo ni sawa na Bombadier na zimeuzika sana hazina matatizo ya hydraulic system kwenye landing gear zake - hapa Tanzania (ATCL) iliwahi kupoteza a brandnew Bombadier kutokana na tatizo hilo, lakini hilo awalisemi!! Sasa wanataka kuongezea type ya jet kutoka kampuni hiyo hiyo tena - nchi ngapi zinazo tumia jetplane za Bombadier mbona Rwanda jet zao wananunua Amerika na Ulaya sio Canada?