Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,860
- 12,293
Na sisi tumsifie mwenyekiti wetu kwa kujenga makao makuu yetu kupitia ruzuku zetu. Japo ametumia mamilioni ya ruzuku zetu kwenda kula bata Dubai na Afrika kusini na familia yake ila si haba amefanya jambo.
CCM mmechoka akili ni wa kuwapumzisha Tu sasa
Miaka 60 mnamsifia Rais kujenga madarasa mnatia aibu