jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,824
- 7,593
HahahahaTozonia
HahahahaTozonia
Na aendelee kumuachia Majaliwa kazi ya kudeal na hawa wahuni akina MboweWatu wengi hasa wa mitandaoni vichwa vyao wamekabidhi genge fulani la wanasiasa. Na kama umavyojua wanasiasa wana keleleee, usipowapa wanachotaka wanapiga kelele kuonesha kama vile hakuna unachofanya kwa vile wao hujawapa wanachotaka.
Samia is doing very good.
Ukiachana nange la wanasiasa uchwara, inahitajika marekebisho kidogo tu.
All the best to Her Majesty Hangaya!!!Kwa jinsi mama anavyokimbiza mwizi kimya kimya hadi kufikia 2025 hatakuwa na mpinzani
Kwani hizo hela zinatoka wapi, siyo Kodi zetu pale hazina au ni za rais.Kama tukiweka unafiki pembeni, Kwa muda mfupi ambao Rais Samia ameingia ikulu amefanya kazi kubwa sana ambayo kama ingefanywa na serikali iliyopita ingechukua miaka kadhaa kukamilika
Mama katika kipindi cha miezi sita ambacho ameingia ikulu kwenye sekta ya afya tayari ameidhinisha mabilioni ya pesa yanayoenda kujenga vituo vya afya 220 kwenye tarafa ambazo hazikuwa na vituo hivyo kabla. Nje na ujenzi wa vituo vya afya pia ameimarisha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwenye hospitali zetu.
Kwenye elimu, ndani ya miezi sita mama amejenga vyumba vya madarasa 560 na shule moja ya sekondari ya wasichana kila wilaya ambapo ujenzi bado unaendelea.
Kwenye miundo mbinu kwa kipindi cha miezi sita mama ametoa milioni 500 kila jimbo kwaajili ya ujenzi wa barabara za vijijini na miradi mikubwa yote iliyoachwa na mtangulizi wake yote inaendelea kama kawaida na hakuna hata mradi mmoja uliokwama
Kwenye sekta ya anga na usafiri, tayari mama ameidhinisha zaidi ya bilioni 200 kama malipo ya awali ya ununuzi wa ndege tano kama mkakati wa kufufua shirika letu la ndege 'ATCL'
Kuhusu uhaba wa watumishi, ndani ya miezi sita mama ameajiri watumishi 9,675 wakiwemo walimu 6,749 na watumishi wa afya 2, 726. Kama hiyo haitoshi anatarajia kuongeza watumishi wengine zaidi ya 10,000 kwenye sekta ya elimu kwaajili ya kupunguza uhaba uliopo. Na itakumbukwa kuwa kwa miaka sita ambayo mtangulizi wake alikuwa madarakani hakuwahi kuajiri watumishi 10,000 kwa mkupuo mmoja lakini mama huyu anaenda kuifanya kazi hiyo ndani ya muda mfupi tangu aingie madarakani.
Ukiachana na watumishi wa afya na elimu, ndani ya miezi sita ameachia kibali cha kuajiri askari wa jeshi la polisi zaidi ya 3,000 kwaajili ya kuimarisha usalama wa Raia na mali zao.
Kwenye sekta ya kilimo Rais samia amepandisha bei ya mazao ukiwemo mtama, pamba, kunde na hivi karibuni serikali anayoiongoza inajipanga kununua mahindi ya wakulima ili kuwawezesha kiuchumi na kujikimu hadi msimu ujao.
Licha ya kazi kubwa anayofanya hakuna makelele ya kumsifu na kumpamba kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake na hii ndio dhana halisi ya usemi "mama anakimbiza mwizi kimya kimya"
Tuzidi kumpa support ili apate nguvu ya kutufanyia mambo makubwa
Kumbe ni moja tuView attachment 1936019
Sekondari ya Iyumbu jijini dodoma ujenzi unaendelea chini ya kampuni ya kizalendo ya tusuma jkt
Sio kweli, mkoa nilipo hakuna shule hata moja inayojengwa kwa mpango huo.Ulitaka nikutajie moja ndio hiyo nimekutajia na zingine zinaendelea kujengwa kila mkoa
😍💪👍🙏Kama tukiweka unafiki pembeni, Kwa muda mfupi ambao Rais Samia ameingia ikulu amefanya kazi kubwa sana ambayo kama ingefanywa na serikali iliyopita ingechukua miaka kadhaa kukamilika
Mama katika kipindi cha miezi sita ambacho ameingia ikulu kwenye sekta ya afya tayari ameidhinisha mabilioni ya pesa yanayoenda kujenga vituo vya afya 220 kwenye tarafa ambazo hazikuwa na vituo hivyo kabla. Nje na ujenzi wa vituo vya afya pia ameimarisha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwenye hospitali zetu.
Kwenye elimu, ndani ya miezi sita mama amejenga vyumba vya madarasa 560 na shule moja ya sekondari ya wasichana kila wilaya ambapo ujenzi bado unaendelea.
Kwenye miundo mbinu kwa kipindi cha miezi sita mama ametoa milioni 500 kila jimbo kwaajili ya ujenzi wa barabara za vijijini na miradi mikubwa yote iliyoachwa na mtangulizi wake yote inaendelea kama kawaida na hakuna hata mradi mmoja uliokwama
Kwenye sekta ya anga na usafiri, tayari mama ameidhinisha zaidi ya bilioni 200 kama malipo ya awali ya ununuzi wa ndege tano kama mkakati wa kufufua shirika letu la ndege 'ATCL'
Kuhusu uhaba wa watumishi, ndani ya miezi sita mama ameajiri watumishi 9,675 wakiwemo walimu 6,749 na watumishi wa afya 2, 726. Kama hiyo haitoshi anatarajia kuongeza watumishi wengine zaidi ya 10,000 kwenye sekta ya elimu kwaajili ya kupunguza uhaba uliopo. Na itakumbukwa kuwa kwa miaka sita ambayo mtangulizi wake alikuwa madarakani hakuwahi kuajiri watumishi 10,000 kwa mkupuo mmoja lakini mama huyu anaenda kuifanya kazi hiyo ndani ya muda mfupi tangu aingie madarakani.
Ukiachana na watumishi wa afya na elimu, ndani ya miezi sita ameachia kibali cha kuajiri askari wa jeshi la polisi zaidi ya 3,000 kwaajili ya kuimarisha usalama wa Raia na mali zao.
Kwenye sekta ya kilimo Rais samia amepandisha bei ya mazao ukiwemo mtama, pamba, kunde na hivi karibuni serikali anayoiongoza inajipanga kununua mahindi ya wakulima ili kuwawezesha kiuchumi na kujikimu hadi msimu ujao.
Licha ya kazi kubwa anayofanya hakuna makelele ya kumsifu na kumpamba kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake na hii ndio dhana halisi ya usemi "mama anakimbiza mwizi kimya kimya"
Tuzidi kumpa support ili apate nguvu ya kutufanyia mambo makubwa
Mbona sisi watu wa kigoma- kasulu hawaji kununua mahindi yetu?? walanguzi wanatulalia kwa bei ya tsh 4500-5500 kwa debe hii ni sawa na wastani wa kilo moja inauzwa kwa sh. 230 hadi 270 wakati mikoa ya nyanda za juu kusini wao serikali inakwenda kununua mahindi kwa kilo tsh 500 hii ni sawa na wastani wa debe moja sh. 10,000/=. Ina maana wakulima wa mikoa mingine wao ni bora zaidi kuliko wengine??Kama tukiweka unafiki pembeni, Kwa muda mfupi ambao Rais Samia ameingia ikulu amefanya kazi kubwa sana ambayo kama ingefanywa na serikali iliyopita ingechukua miaka kadhaa kukamilika
Mama katika kipindi cha miezi sita ambacho ameingia ikulu kwenye sekta ya afya tayari ameidhinisha mabilioni ya pesa yanayoenda kujenga vituo vya afya 220 kwenye tarafa ambazo hazikuwa na vituo hivyo kabla. Nje na ujenzi wa vituo vya afya pia ameimarisha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwenye hospitali zetu.
Kwenye elimu, ndani ya miezi sita mama amejenga vyumba vya madarasa 560 na shule moja ya sekondari ya wasichana kila wilaya ambapo ujenzi bado unaendelea.
Kwenye miundo mbinu kwa kipindi cha miezi sita mama ametoa milioni 500 kila jimbo kwaajili ya ujenzi wa barabara za vijijini na miradi mikubwa yote iliyoachwa na mtangulizi wake yote inaendelea kama kawaida na hakuna hata mradi mmoja uliokwama
Kwenye sekta ya anga na usafiri, tayari mama ameidhinisha zaidi ya bilioni 200 kama malipo ya awali ya ununuzi wa ndege tano kama mkakati wa kufufua shirika letu la ndege 'ATCL'
Kuhusu uhaba wa watumishi, ndani ya miezi sita mama ameajiri watumishi 9,675 wakiwemo walimu 6,749 na watumishi wa afya 2, 726. Kama hiyo haitoshi anatarajia kuongeza watumishi wengine zaidi ya 10,000 kwenye sekta ya elimu kwaajili ya kupunguza uhaba uliopo. Na itakumbukwa kuwa kwa miaka sita ambayo mtangulizi wake alikuwa madarakani hakuwahi kuajiri watumishi 10,000 kwa mkupuo mmoja lakini mama huyu anaenda kuifanya kazi hiyo ndani ya muda mfupi tangu aingie madarakani.
Ukiachana na watumishi wa afya na elimu, ndani ya miezi sita ameachia kibali cha kuajiri askari wa jeshi la polisi zaidi ya 3,000 kwaajili ya kuimarisha usalama wa Raia na mali zao.
Kwenye sekta ya kilimo Rais samia amepandisha bei ya mazao ukiwemo mtama, pamba, kunde na hivi karibuni serikali anayoiongoza inajipanga kununua mahindi ya wakulima ili kuwawezesha kiuchumi na kujikimu hadi msimu ujao.
Licha ya kazi kubwa anayofanya hakuna makelele ya kumsifu na kumpamba kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake na hii ndio dhana halisi ya usemi "mama anakimbiza mwizi kimya kimya"
Tuzidi kumpa support ili apate nguvu ya kutufanyia mambo makubwa
Pengine yupo burundiiiUpo mkoa gani
Misukule ya mwendazake itabisha...Mama huwezi mlinganisha na wale mburukenge washamba ambao Kazi kubwa walioweza ni kujitutumua, kufoka na kukunja ndita, kudanganya, kujisifu na kuharibu uchumi kwa kujificha kwenye kichaka cha uzalendo..
Raha ya mama wala hana muda wa kuhangaika na wapumbavu, amewaacha mara walinganishe hivi, waseme hili lakini yeye Kazi zinaenda ..
Hii ndio inaitwa kuonyesha uongozi sio kupayuka hovyo na kujitutumua
Mama ni kiongozi mzuri. Kosa lake ni kuji associates na wala rushwa/mafisadi, hiyo inampunguzia credibility.Kama tukiweka unafiki pembeni, Kwa muda mfupi ambao Rais Samia ameingia ikulu amefanya kazi kubwa sana ambayo kama ingefanywa na serikali iliyopita ingechukua miaka kadhaa kukamilika
Mama katika kipindi cha miezi sita ambacho ameingia ikulu kwenye sekta ya afya tayari ameidhinisha mabilioni ya pesa yanayoenda kujenga vituo vya afya 220 kwenye tarafa ambazo hazikuwa na vituo hivyo kabla. Nje na ujenzi wa vituo vya afya pia ameimarisha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwenye hospitali zetu.
Kwenye elimu, ndani ya miezi sita mama amejenga vyumba vya madarasa 560 na shule moja ya sekondari ya wasichana kila wilaya ambapo ujenzi bado unaendelea.
Kwenye miundo mbinu kwa kipindi cha miezi sita mama ametoa milioni 500 kila jimbo kwaajili ya ujenzi wa barabara za vijijini na miradi mikubwa yote iliyoachwa na mtangulizi wake yote inaendelea kama kawaida na hakuna hata mradi mmoja uliokwama
Kwenye sekta ya anga na usafiri, tayari mama ameidhinisha zaidi ya bilioni 200 kama malipo ya awali ya ununuzi wa ndege tano kama mkakati wa kufufua shirika letu la ndege 'ATCL'
Kuhusu uhaba wa watumishi, ndani ya miezi sita mama ameajiri watumishi 9,675 wakiwemo walimu 6,749 na watumishi wa afya 2, 726. Kama hiyo haitoshi anatarajia kuongeza watumishi wengine zaidi ya 10,000 kwenye sekta ya elimu kwaajili ya kupunguza uhaba uliopo. Na itakumbukwa kuwa kwa miaka sita ambayo mtangulizi wake alikuwa madarakani hakuwahi kuajiri watumishi 10,000 kwa mkupuo mmoja lakini mama huyu anaenda kuifanya kazi hiyo ndani ya muda mfupi tangu aingie madarakani.
Ukiachana na watumishi wa afya na elimu, ndani ya miezi sita ameachia kibali cha kuajiri askari wa jeshi la polisi zaidi ya 3,000 kwaajili ya kuimarisha usalama wa Raia na mali zao.
Kwenye sekta ya kilimo Rais samia amepandisha bei ya mazao ukiwemo mtama, pamba, kunde na hivi karibuni serikali anayoiongoza inajipanga kununua mahindi ya wakulima ili kuwawezesha kiuchumi na kujikimu hadi msimu ujao.
Licha ya kazi kubwa anayofanya hakuna makelele ya kumsifu na kumpamba kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake na hii ndio dhana halisi ya usemi "mama anakimbiza mwizi kimya kimya"
Tuzidi kumpa support ili apate nguvu ya kutufanyia mambo makubwa
Upo na busara sana...Wengi wapo kuchonganisha ili nafasi zitokee wapewe shavuNakubaliana na sentensi yako ya mwisho tumpe Mh Rais SSH support na kumtia nguvu kwa yale mema na mazuri anayo ya fanya. Jambo jema jingine nililoliona kwa serikali yake wanapo kosolewa kwa mambo nyenye mashiko wanayafanyia kazi. Yako mambo yaliyokosolewa na mengine kutolewa ushauri hapa jF na tumeona na kusikia serikali inayafanyia kazi. Tujiulize jF sisi ni nani kati ya Watanzani 60Millioni mpaka kustahili na kupewa heshima hii?!
Nisichokubaliana na wewe ni ulivyoanza kwa kumponda JPM na serikali yake. Wengine hatutanyamaza katika hilo.
Vinginevyo Mh Mama Rais ana miezi sita tu tangu ashike usukani tumpe muda na wanaomsaidia kazi wampe ushirikiano wa kutosha na kujitoa hasa, tutafika kwa pamoja. Wengine tunaendelea kumuombea na tumejitoa kwa hilo. Pale penye mapungufu tutasema na kwenye kustahili kupongezwa tutapongeza bila chembe yetote ya unafiki.
Hili lipo wazi kama jua la mchanaMama ni kiongozi mzuri. Kosa lake ni kuji associates na wala rushwa/mafisadi, hiyo inampunguzia credibility.