The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 2,954
- 4,106
Mara ya mwisho kununua luku ilikuwa lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho ni kichaaMama anakimbiza mwizi kimya kimya ipo siku mtamwelewa tu
Lkn mzani haujabalance..hawastahili kupata lawama na sifa Kwa pamoja.Hawa wanastahili lawama pekee Kwa nchi walipoifikishaAnayepewa lawama, anastahili na sifa vile vile.
Sifa nyingine bana sijui lengo lake ni nini?Kama tukiweka unafiki pembeni, Kwa muda mfupi ambao Rais Samia ameingia ikulu amefanya kazi kubwa sana ambayo kama ingefanywa na serikali iliyopita ingechukua miaka kadhaa kukamilika
Mama katika kipindi cha miezi sita ambacho ameingia ikulu kwenye sekta ya afya tayari ameidhinisha mabilioni ya pesa yanayoenda kujenga vituo vya afya 220 kwenye tarafa ambazo hazikuwa na vituo hivyo kabla. Nje na ujenzi wa vituo vya afya pia ameimarisha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwenye hospitali zetu.
Kwenye elimu, ndani ya miezi sita mama amejenga vyumba vya madarasa 560 na shule moja ya sekondari ya wasichana kila wilaya ambapo ujenzi bado unaendelea.
Kwenye miundo mbinu kwa kipindi cha miezi sita mama ametoa milioni 500 kila jimbo kwaajili ya ujenzi wa barabara za vijijini na miradi mikubwa yote iliyoachwa na mtangulizi wake yote inaendelea kama kawaida na hakuna hata mradi mmoja uliokwama
Kwenye sekta ya anga na usafiri, tayari mama ameidhinisha zaidi ya bilioni 200 kama malipo ya awali ya ununuzi wa ndege tano kama mkakati wa kufufua shirika letu la ndege 'ATCL'
Kuhusu uhaba wa watumishi, ndani ya miezi sita mama ameajiri watumishi 9,675 wakiwemo walimu 6,749 na watumishi wa afya 2, 726. Kama hiyo haitoshi anatarajia kuongeza watumishi wengine zaidi ya 10,000 kwenye sekta ya elimu kwaajili ya kupunguza uhaba uliopo. Na itakumbukwa kuwa kwa miaka sita ambayo mtangulizi wake alikuwa madarakani hakuwahi kuajiri watumishi 10,000 kwa mkupuo mmoja lakini mama huyu anaenda kuifanya kazi hiyo ndani ya muda mfupi tangu aingie madarakani.
Ukiachana na watumishi wa afya na elimu, ndani ya miezi sita ameachia kibali cha kuajiri askari wa jeshi la polisi zaidi ya 3,000 kwaajili ya kuimarisha usalama wa Raia na mali zao.
Kwenye sekta ya kilimo Rais samia amepandisha bei ya mazao ukiwemo mtama, pamba, kunde na hivi karibuni serikali anayoiongoza inajipanga kununua mahindi ya wakulima ili kuwawezesha kiuchumi na kujikimu hadi msimu ujao.
Licha ya kazi kubwa anayofanya hakuna makelele ya kumsifu na kumpamba kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake na hii ndio dhana halisi ya usemi "mama anakimbiza mwizi kimya kimya"
Tuzidi kumpa support ili apate nguvu ya kutufanyia mambo makubwa
Ninachojua, 2025 kutakuwa na mtafutano.Kama tukiweka unafiki pembeni, Kwa muda mfupi ambao Rais Samia ameingia ikulu amefanya kazi kubwa sana ambayo kama ingefanywa na serikali iliyopita ingechukua miaka kadhaa kukamilika
Mama katika kipindi cha miezi sita ambacho ameingia ikulu kwenye sekta ya afya tayari ameidhinisha mabilioni ya pesa yanayoenda kujenga vituo vya afya 220 kwenye tarafa ambazo hazikuwa na vituo hivyo kabla. Nje na ujenzi wa vituo vya afya pia ameimarisha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwenye hospitali zetu.
Kwenye elimu, ndani ya miezi sita mama amejenga vyumba vya madarasa 560 na shule moja ya sekondari ya wasichana kila wilaya ambapo ujenzi bado unaendelea.
Kwenye miundo mbinu kwa kipindi cha miezi sita mama ametoa milioni 500 kila jimbo kwaajili ya ujenzi wa barabara za vijijini na miradi mikubwa yote iliyoachwa na mtangulizi wake yote inaendelea kama kawaida na hakuna hata mradi mmoja uliokwama
Kwenye sekta ya anga na usafiri, tayari mama ameidhinisha zaidi ya bilioni 200 kama malipo ya awali ya ununuzi wa ndege tano kama mkakati wa kufufua shirika letu la ndege 'ATCL'
Kuhusu uhaba wa watumishi, ndani ya miezi sita mama ameajiri watumishi 9,675 wakiwemo walimu 6,749 na watumishi wa afya 2, 726. Kama hiyo haitoshi anatarajia kuongeza watumishi wengine zaidi ya 10,000 kwenye sekta ya elimu kwaajili ya kupunguza uhaba uliopo. Na itakumbukwa kuwa kwa miaka sita ambayo mtangulizi wake alikuwa madarakani hakuwahi kuajiri watumishi 10,000 kwa mkupuo mmoja lakini mama huyu anaenda kuifanya kazi hiyo ndani ya muda mfupi tangu aingie madarakani.
Ukiachana na watumishi wa afya na elimu, ndani ya miezi sita ameachia kibali cha kuajiri askari wa jeshi la polisi zaidi ya 3,000 kwaajili ya kuimarisha usalama wa Raia na mali zao.
Kwenye sekta ya kilimo Rais samia amepandisha bei ya mazao ukiwemo mtama, pamba, kunde na hivi karibuni serikali anayoiongoza inajipanga kununua mahindi ya wakulima ili kuwawezesha kiuchumi na kujikimu hadi msimu ujao.
Licha ya kazi kubwa anayofanya hakuna makelele ya kumsifu na kumpamba kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake na hii ndio dhana halisi ya usemi "mama anakimbiza mwizi kimya kimya"
Tuzidi kumpa support ili apate nguvu ya kutufanyia mambo makubwa