William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Hali ni mbaya. Kuna maeneo watu wamechanganyikiwa hawajui walime nini.
Naona Serikali na viongozi wako bize na uchaguzi 2025.
Natamani Serikali itoke adharani kufanya Mambo yafuatayo:
1. Kuhamasisha ulimaji wa mazao ya muda mfupi na yanayostaimili ukame kama mtama, mahindi na maharage.
2. Kuingilia Kati mfumuko wa Bei kwa kuruhusu uagizaji wa mahindi na mchele kutoka brazili na nje ya nchi bila ushuru au mashariti yoyote ya kibiashara isipokuwa ya kiafya na Ubora.
3. Kuwahakikishia wananchi kuwa hakuna mtu atakufa njaa ili waondoe hofu na wachape Kazi.
4. Kutoruhusu kutoka nje kwa nafaka.
Najua viongozi wanaweza wasieleHalhali halisi waje vijijini watu wamekata tamaa kabisa.
Naona Serikali na viongozi wako bize na uchaguzi 2025.
Natamani Serikali itoke adharani kufanya Mambo yafuatayo:
1. Kuhamasisha ulimaji wa mazao ya muda mfupi na yanayostaimili ukame kama mtama, mahindi na maharage.
2. Kuingilia Kati mfumuko wa Bei kwa kuruhusu uagizaji wa mahindi na mchele kutoka brazili na nje ya nchi bila ushuru au mashariti yoyote ya kibiashara isipokuwa ya kiafya na Ubora.
3. Kuwahakikishia wananchi kuwa hakuna mtu atakufa njaa ili waondoe hofu na wachape Kazi.
4. Kutoruhusu kutoka nje kwa nafaka.
Najua viongozi wanaweza wasieleHalhali halisi waje vijijini watu wamekata tamaa kabisa.