Jamani hivi kuna mtu ashawahi kufikiria kitu kama hiki? naomba mchangie bila kumtukana rais wala watawala wake , kama huna fact unataka kutukana naomba ukae kimya tu kwa sababu kila mtu an ahasira zake, na hawa viongozi.
hii ndege ndio inayomfanya kila siku kiguu na njia kwenda kwenye matamasha , ndio! hizi ni kodi zetu hizi kwa nini tunyamaze?
nchi yenya watu mili 40 , haina vita ina madini na migodi mbali mbli ,ina maziwa na bahari ina vivutio vya utalii
lakini haimiliki ndege, suitaki kusema kuwa kuwa na ndege ndio uchumi wako una kuwa strong but this is the source of employment also , tunashindwa kufikiria .
hakua faida ya hii ndege zaidi ya kuktutia hasara tu kwa safari zake za mara kwa mara.unafikiri ndege isingekuwepo si angekuwa nchini anafuatilia bunge? iaal hajui hata kitu gani inachoendelea na
VIJANA WA SIKU HIZI WANASEMA MWACHE ALE BATA
SASA WEWE MBONA UNAJIKONTRADIKTI MWENYEWE...??? UNASEMA SERIKALI HAIMILIKI NDEGE, TENA WAKATI HUOHUO UNADAI hii ndege ndiyo inayomfanya.....,!! mara hii ndege haina faida...!!
SASA KWA TAARIFA YAKO SERIKALI INAMILIKI NDEGE TENA ZAIDI YA MOJA, JITAHIDI KUTOFAUTISHA SHIRIKA LA NDEGE LA BRAAHBRAAHH!! NA SERIKALI....!!! KAMA HUWEZI KUJIELEZA BASI NYAMAZA KIMYA................!!!