Mimi kilaza? Haya, nime google. Sabena hili hapa kutoka Wikipedia:
SABENA was the national airline of Belgium from 1923 to 2001, with its base at Brussels National Airport. After its bankruptcy in 2001, the newly-formed SN Brussels Airlines took over part of SABENA's assets in February 2002
Kwa hiyo hilo shirika la serikali ya Belgium lillishakufa toka 2001 kama ATC inakokwenda! Umeleta kimchongo kimepitwa na wakati, shirika lishakwenda bankrupt, haikaisii pointi yako kwa sababu umeleta shirika la serikali ambalo lilikufa, sasa kilaza nani hapa? Eti SABENA, dunderhead mkubwa wewe!
Rais wa Tanzania ana ndege, Tanzania haina ndege. Kweli. Rais wa Marekani ana ndege, Air Force One, Marekani ina ndege?