Jamani ninaomba msaada wa mtaalamu wa wanyama ili anisaidie kitu gani kitawazuia paka wa jirani kuingia kwangu.
Paka hawa huingia kwenye fence yangu na kukesha wakilia nyuma ya nyumba yangu, imekuwa ni kero kiukweli.
Naomba msaada nitamlipa akinifanikisha.
Asanteni kwa ushauri
Paka hawa huingia kwenye fence yangu na kukesha wakilia nyuma ya nyumba yangu, imekuwa ni kero kiukweli.
Naomba msaada nitamlipa akinifanikisha.
Asanteni kwa ushauri
Kwa wataalam wa umeme, nimekuwa mara nyingi paka wanavamia banda la kuku wanakula, nimefuga mbwa lakini wamekuwa wakitoa wire za banda na kupita, sasa Natala ushauri kwa wana umeme, paka anapigwa shock? Kama ndio, nafanyaje kuwatega?