Nawezaje kuwazuia paka kuingia kwangu?

Nawezaje kuwazuia paka kuingia kwangu?

Umenikumbusha mbali,niliwahi kufuga paka wangu mzuri mnoo nlikuwa nampenda sana,siku moja nlinunua nguru nikapika ugali nikala nikamkatia paka wang kipande cha nguru wala sikujua km paka huwa na aleji na nguru ,yani alianza kukonda na kunyonyoka manyoya mpk akafa.

paka na kupenda kote samaki.. lakini kiboko yake nguru tuu
 
Siku zote paka na mbwa wanaishi pamoja nashangaa huu ushauri mnaotoa hapa. Akubaliane tu kelele zao maadamu haziui wala kumfanya mtu augue.

ukiona paka na mbwa wanaishi wote ujue wamelelewa pamoja toka wakingali wadogo wasiopungua umri wa wiki mbili....vinginevyo mbwa na paka ni maadui wa kudumu,hatq km umeweza kuwafuga mbwa na paka wakazoea lakini siku akija paka mgeni lazima mbwa watamshambulia
 
Haha ha-ha mbona Mbwa wanacheza na paka we kuwa msela tu watahama chai Mama ntilie mpaka msosi wa usiku watahama tu
 
Jaribu hiyo ya nguru au pilipili ya unga, ila ukisema ufuge mbwa kelele ziko palepale mana mbwa nao wana kelele sana tu
 
Jamani ninaomba msaada wa mtaalamu wa wanyama ili anisaidie kitu gani kitawafanya paka wa jirani kingia kwangu kwenye fence yangu na kukesha wakilia nyuma ya nyumba yangu
imekuwa ni kero kiukweli.

Naomba msaada nitamlipa akinifanikisha.

Asanteni kwa ushauri

mi kwetu kuna panya wengi sana wako store usiku wanatoka, tunajitahidi kutafuta paka lakini hawakai wanaliwa na mbwa ,juzi kuna paka aliuliwa na mbwa hata week haijafika tangu aletwe home. paka alitoka ndani akajificha nje wakati usiku baada ya mlango kuwa wazi, tunawafungulia walizi mbwa dah tunasikia mingulumo ya ajabu tukitoka nje tunamuona paka yako mdomon mwa mbwa kila mbwa anamtaka. Tufuta mbwa paka wote wataondoka wenyewe.
 
Sijawahi kujua kuwa kuna watu wanaongoza nyumba huku wakiwa na ubongo mdogo namna hiii? Kwani hujui kuwa dawa ya paka ni mbwa?????
 
Siku zote paka na mbwa wanaishi pamoja nashangaa huu ushauri mnaotoa hapa. Akubaliane tu kelele zao maadamu haziui wala kumfanya mtu augue.

hilo la kukaa pamoja si kweli ila mbwa hafui dafu kwa paka,huwa paka anamrukia mbwa mgongoni anaanza kumuuma akiwa mgongoni mbwa anashindwa la kufanya,kwa hiyo mimi ninavyoujua paka ndiyo kiboko ya mbwa
 
mmmmh nieleweshe vizuri mkuu hapo unaposema paka ni cctv ya Mungu
Hadithi inakwenda hivi;katika sayari moja zamani paka ndio walikuwa the dominant species. Walikuwa wanaishi katika miti,in the hollow of trees. But they were a failure in that civilization. Kwa hiyo ikaamuliwa watawekwa katika civilization nyingine,ambapo kazi yao itakuwa kuwatazama binadamu,ili watu wengine wakija baadaye,wapate habari kutoka kwa paka. Kwa hiyo wakaletwa duniani,kuwatazama watu,to watch people kwa niaba ya Gardeners of the Earth,hawa wanaitwa Gardeners,kwa sababu wao ndio wanaozunguka katika kila sayari na kuweka binadamu. Binadamu wote waliopo duniani wameletwa kutoka kwenye sayari ya mbali,wamekuja kama savages,wameshushwa kutoka kwenye space craft,ndio maisha yakaanza,for a long time wakawa wanahangaika tu,they did not even know how to make fire. Wakaletwa tena binadamu wengine kuwasaidia. And that is how civilization started. Kwa hiyo the cats are watching all this.
 
Hadithi inakwenda hivi;katika sayari moja zamani paka ndio walikuwa the dominant species. Walikuwa wanaishi katika miti,in the hollow of trees. But they were a failure in that civilization. Kwa hiyo ikaamuliwa watawekwa katika civilization nyingine,ambapo kazi yao itakuwa kuwatazama binadamu,ili watu wengine wakija baadaye,wapate habari kutoka kwa paka. Kwa hiyo wakaletwa duniani,kuwatazama watu,to watch people kwa niaba ya Gardeners of the Earth,hawa wanaitwa Gardeners,kwa sababu wao ndio wanaozunguka katika kila sayari na kuweka binadamu. Binadamu wote waliopo duniani wameletwa kutoka kwenye sayari ya mbali,wamekuja kama savages,wameshushwa kutoka kwenye space craft,ndio maisha yakaanza,for a long time wakawa wanahangaika tu,they did not even know how to make fire. Wakaletwa tena binadamu wengine kuwasaidia. And that is how civilization started. Kwa hiyo the cats are watching all this.
asante kiongozi. kwa ufafanuzi huu
 
Kwa wataalam wa umeme, nimekuwa mara nyingi paka wanavamia banda la kuku wanakula, nimefuga mbwa lakini wamekuwa wakitoa wire za banda na kupita, sasa nataka ushauri kwa wana umeme, paka anapigwa shock? Kama ndio, nafanyaje kuwatega?
 
mkuu umeme ni risk na process zake zitakusumbua tu. Nunua sumu ya panya inakuaga kama vichenga chenga ivi wawekee na visamaki kidogo tu weka hapo lala usingizi asubuhi jiandae kuwachimbia shimo na kuwafukia tu maana wakila hawafiki hata hatua tatu
 
kwa wataalam wa umeme,nimekua mara nying paka wanavamia banda la kuku wanakula,nimefuga mbwa lakn wamekua wakitoa wire za banda na kupita,sasa nataka ushauri kwa wanaumeme,paka anapigwa shock? Kama ndio,nafanyaje kuwatega?
Umeme wa nini mkuu mbona pakaa waoga sana, wee chukua matango yatandaze karibu na hilo banda watakimbia na hawarudi tena
 
mkuu umeme ni risk na process zake zitakusumbua tu. Nunua sumu ya panya inakuaga kama vichenga chenga ivi wawekee na visamaki kidogo tu weka hapo lala usingizi asubuhi jiandae kuwachimbia shimo na kuwafukia tu maana wakila hawafiki hata hatua tatu
Sasa akikimbilia kwenye majo??. Maana nasikia akony'wa maji hafi
 
Usifanye ukatili kuuwa viumbe vya M/mungu plz dnt do that tafuta suluhisho jingine
 
Acha kuwa mauaji ya viumbe kisa ubovu wa banda lako, tengeneza banda acha mipango ya umeme ambayo inaweza kusababisha mauti kwa wanafamilia wako kama hamtakuwa makini badala ya kuzika paka mtazika mtu.
 
Umeme wa nini mkuu mbona pakaa waoga sana, wee chukua matango yatandaze karibu na hilo banda watakimbia na hawarudi tena
Niliona clip namna paka anavyoogopa tango nikabaki nashangaa...sijui anafananisha na nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom