Nawezaje kuwazuia paka kuingia kwangu?

Nawezaje kuwazuia paka kuingia kwangu?

Kwa wataalam wa umeme, nimekuwa mara nyingi paka wanavamia banda la kuku wanakula, nimefuga mbwa lakini wamekuwa wakitoa wire za banda na kupita, sasa nataka ushauri kwa wana umeme, paka anapigwa shock? Kama ndio, nafanyaje kuwatega?

Tanzania tuna sheria ya kuzuia ukatili kwa wanyama ole wako ufanye hivyo. utakwenda gerezani miaka mitatu bila faini
 
Umeme wa nini mkuu mbona pakaa waoga sana, wee chukua matango yatandaze karibu na hilo banda watakimbia na hawarudi tena

haha mkuu nikweli wanaogopa matango ila inakua poa unapoweka akiwa tayari eneo la tukio na hakuliona kabla ila kama akifika eneo la tukio na akiliona tango atalipita. speaking from experience
 
Niliwahi sikia kwamba ukichukua dawa ya kuua mende (ya unga na nyeupe) kisha ukaichanganya na maziwa fresh au mgando paka wakinywa hayo maziwa basi ufa baada ya muda mfupi. Pia kuna hiyo ya kusaga chupa na unga wake kuuchanganya na maziwa ya mgando. Ila mimi naona ya kusaga chupa imekaa kigaidi zaidi.
 
Umeme! Hivi umeme unauchukuliaje kwanza! Umeme wa wapi? Utege afe nani? Kwa namna gani? Ili iweje? Umeme unatega kuua kitu? Utasababisha fault paka atapona utakufa wewe na mkeo kama mshikaki kwenye waya. Afu umeme ni nyara ya selikali utafungwa na utawatia majirani wenzio umaskini. Utakufa utaiva. Ujinga mkubwa kabisa huu. Umeme! Umeme utegee paka! Dah kweli ngozi hii ni tatizo. Aisee wewe. Dah nimesikitika sana,ningekukuta unafanya huu upambafu ningekulamba vibao. Vinyumba vyenyewe havina bima vya uswahilini unataka kuleta upumbafu. Ulaya umeme unalipiwa bima kubwa kwa risk yake wewe unataka tegea paka. Pumbaf*
ahahahahah...
mkuu,umenifurahisha sana...
kiukweli huyu bwana ana UTANI..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom