Nawaza Tu: Ukimpata mpenzi wa hivi

Nawaza Tu: Ukimpata mpenzi wa hivi

Utafanya yote hayo na bado ataenda kutafuta the opposite. Na kama mmoja alivyouliza hapo juu mwanamke unapata nini in return? Dont a woman also want to put her feet up and be pampered? Jianaume lina masajiwa lina koroma tu oooh yeah bebi... hapo mwenyewe umechoka balaa, hata ile kukupa a glass of water ukiwa umechoka anaona kazi! Its all about him and his ass!

she is married already..unadhani kuolewa ndo hadi umlambe miguu mwanaume

Yipeeee. Where my girls at? Hahaaa. Twendeni tukaleweee wikiendiii.
 
UKIMPATA MPENZI KAMA HUYU UTAWAZA KUMSALITI KWELI BOY.

1. Unaamka yeye kashaamka na kusema "baby amka maji ya kuoga yapo bafuni"(mwanamke adimu sana)

2. Unajiandaa kwenda kazini khaa, nguo zishapigwa pasi

3. Unarudi jioni unakuta anakuvua soksi acha tu raha sana!

4. Umejipunzisha kwenye kochi au kitandani mara kakukalia Mgongoni anakufanyia masaji, unaishia kusema "thanks baby".

5. Kila anachotaka kufanya kujiendeleza anakuambia.

6. Anapenda ndugu zako.

7. Anakupa moyo kwenye wakati mgumu (anakwambia baby hayo ni maisha tu,usijali utafanikiwa tu)

8. Anajua unataka nn na kwa wakati gani. Full kuenjoy kidume.

He heee heee, ila wanaume hatuna dogo, unaweza fanyiwa yote hayo na kesho uka malizia, ingawa siyo kila mwanaume anaweza fanya hivyo.

Unaeza kumpata tengeneza robot mkuu!
 
hahahhaha kwelii..AF UKUTE NA HELA HAKUPIII,Yani mwanume kama hana mshipa wa kunitendea hayo ASAHAU,

Aisee kweli... some men can be very selfish. Someone once told me, that you can learn what ur partner wants to be treated from vile vitu vizuri anavyokufanyia. Sasa mwanaume kila ukija unasemeshwa vizuri, unawekewa maji ya kuoga, anaku massage etc... unadhani siku ukimwambia wife leo its ur day ukam massage japo miguu, ukampakulia chakula japo once in a year basi, unadhani atakasirika?! Dude thats how she ALSO wants to be treated! Sasa kama na hela hakupi lol hapo ndo ntajifanya am too stressed nawaza hela so sorry man... am not in the mood! Anijembeshe hivyo kisa nini... kesho unaamka na pockets kwenye macho umepaukaa... eti kisa unahudumia bwana! Haihusu!
 
Yipeeee. Where my girls at? Hahaaa. Twendeni tukaleweee wikiendiii.

Hahaaa Karucee mie nagongea chiaaaaz kwa mbali huku! To all the ladies who dare to say no to bullshit as soon as they smell it...!
 
Aisee kweli... some men can be very selfish. Someone once told me, that you can learn what ur partner wants to be treated from vile vitu vizuri anavyokufanyia. Sasa mwanaume kila ukija unasemeshwa vizuri, unawekewa maji ya kuoga, anaku massage etc... unadhani siku ukimwambia wife leo its ur day ukam massage japo miguu, ukampakulia chakula japo once in a year basi, unadhani atakasirika?! Dude thats how she ALSO wants to be treated! Sasa kama na hela hakupi lol hapo ndo ntajifanya am too stressed nawaza hela so sorry man... am not in the mood! Anijembeshe hivyo kisa nini... kesho unaamka na pockets kwenye macho umepaukaa... eti kisa unahudumia bwana! Haihusu!

Hapo umelonga.na hapo ukute dume lenyewe chooyooo hadi kwa watoto wake.vitu vitamu linalia bar home patupu,kumpendezesha mke halitaki.kiujumla ni mbinafsi kwakweli hayo manjonjo asahau.
 
Nampenda sana mume wangu,nahisi namfanyia zaidi ya uliyotaja Mwekundu.. Sio utumwa kwani ni mapenzi tu.
 
Number 3 ni ya kikuda kabisa.

Rudi kulala umalizie ndoto yako

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
hayo mawazo yako salaaaleee!!!!!!! cijui atapatikana wapi mwanamke wa hivyo.
 
Back
Top Bottom