CHADEMA bila wananchi (waTanzania) wala si lolote au chochote!Mimi pamoja na familia yangu kwa dhati kabisa na kwa niaba ya Ukoo wangu wote ulio Kyela , DSM na nje ya nchi tunawatakia heri ya Mwaka mpya wanachadema wote , kwa maana ya viongozi katika ngazi zote na wanachama wote popote walipo ndani na nje ya nchi .
Imefahamika sasa Dunia nzima kwamba Chadema ni mpango halisi wa Mungu wa kupigania demokrasia , haki , heshima na Utu wa Mtanzania , katika hili hatuna wasiwasi nao hata chembe na nitakuwa mchoyo wa fadhila ikiwa nitashindwa kukishukuru chama hiki na kukiombea heri na baraka lukuki kwenye mwaka unaokuja , Chadema ndio nguzo ya demokrasia na amani .
Qurani tukufu imeandika kwamba , Nanukuu , " Mwenyezi Mungu yuko pamoja na wenye kusubiri " mwisho wa kunukuu .
Mungu ibariki Chadema .
Ni hasara kubwa sana kwako kuwa na kadi ya chama hichoWengine sio wanachadema tena tuna kadi za CCM lakini hatupendi dhuluma mateso, uonevu na ubaya unaofanyika. Usitutenge na sisi
Nasikitika wewe haumo kwenye kundi hilo mkuu 'tindo', au nakosea?Imekaa poa sana hii.
Bwashee bana we si mbogamboga? au niliona vibayaTumezipokea bwashee!
Wengine sio wanachadema tena tuna kadi za CCM lakini hatupendi dhuluma mateso, uonevu na ubaya unaofanyika. Usitutenge na sisi
Watanzania wote ni Chadema ( ukiacha wachumia tumbo wachache ) Nakuhakikishia kwamba hata hao wanaojiita wanaccm wapo huko kwa uoga tu , kwahiyo nikiitaja Chadema nimeitaja Tanzania na WatanzaniaCHADEMA bila wananchi (waTanzania) wala si lolote au chochote!
Washukuru waTanzania wote hata wale ambao hawakutoa mchango wowote wa moja kwa moja kwa chama chako. Usiwalaumu hao au kuwaonea kinyongo.
Tafadhali elewa, hata katika hao mahasimu wenu, kuna binaadam wenye roho za huruma na wanaojali hatma ya taifa hili, bila kujali maslahi binafsi. Hawa wapo, hata kama watakuwa ni wachache.
Ushauri kwako na chama chako: mmekwishavuka mtihani mkubwa sana katika uhai wa chama chenu. Kama ni maisha ya binaadam, tunaweza kusema sasa mmetoka jandoni. Ni wakati mwafaka kabisa kufanya kazi za chama chenu kwa umakini zaidi kuliko mlivyokwishafanya. Kazi inayowasubiri ni kukieneza chama chenu kwa wananchi kwa njia zote zinazowezekana. Hakuna kusubiri mikutano ya hadhara, hakuna kusubiri uchaguzi. Viongozi wenu kutokuwa na majukumu Bungeni ni fursa muhimu ya kufanya kazi za chama na wananchi. Wakati huu sasa ndipo mtakapojua viongozi wa kweli kweli.
Heri ya mwaka mpya kwa waTanzania wote, hata wale wanaowasurubu waTanzania wenzao kwa sababu za kisiasa.
Nasikitika wewe haumo kwenye kundi hilo mkuu 'tindo', au nakosea?
SAWA.Watanzania wote ni Chadema ( ukiacha wachumia tumbo wachache ) Nakuhakikishia kwamba hata hao wanaojiita wanaccm wapo huko kwa uoga tu , kwahiyo nikiitaja Chadema nimeitaja Tanzania na Watanzania
Analolizungumzia mleta mada yenye kichwa cha habari kinachosema: "Nawatakia wanachadema wote...."Kundi lipi kaka?
Pamoja sana mpambanaji 'C'...……………………..!Mimi pamoja na familia yangu kwa dhati kabisa na kwa niaba ya Ukoo wangu wote ulio Kyela , DSM na nje ya nchi tunawatakia heri ya Mwaka mpya wanachadema wote , kwa maana ya viongozi katika ngazi zote na wanachama wote popote walipo ndani na nje ya nchi .
Imefahamika sasa Dunia nzima kwamba Chadema ni mpango halisi wa Mungu wa kupigania demokrasia , haki , heshima na Utu wa Mtanzania , katika hili hatuna wasiwasi nao hata chembe na nitakuwa mchoyo wa fadhila ikiwa nitashindwa kukishukuru chama hiki na kukiombea heri na baraka lukuki kwenye mwaka unaokuja , Chadema ndio nguzo ya demokrasia na amani .
Qurani tukufu imeandika kwamba , Nanukuu , " Mwenyezi Mungu yuko pamoja na wenye kusubiri " mwisho wa kunukuu .
Mungu ibariki Chadema .
Analolizungumzia mleta mada yenye kichwa cha habari kinachosema: "Nawatakia wanachadema wote...."
Pengine uko sawa, maanake hakusema "Wanachama wa CHADEMA wote..."; na yeye mwenyewe amekwishafafanua maana aliyoilenga; sasa sijui kama ni kweli au sio maana aliyoanza nayo kichwani alipoanzisha mada.
Naona hata mashabiki tu wa chama wamo ndani ya kundi.
Ccm Tena ...I serve and I'm only Loyal to my Country..
So I would like to wish both of you UKAWA and CCM Happy New Year..
May Almighty protect our country
"....Nimrudishie Bwana nini kwa ukarimu wake alionitendea"
Pole mkuuMtoa mada tutake radhi kwa ubaguzi salaam waombe moderator warekebishe ...na Watanzania wanaojitambua wapenda haki tupo wengi japo hatuna kadi za vyama.