King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,984
My dear, a man who treats his lady like a princess, grew up in the hands of a queen!
Cousin wangu aliolewa na mwanaume wa kisukuma. Ameteswa mateso yote yaliyoko huku duniani, kupigwa, matusi ya nguoni na viatuni, kunyanyaswa, you name it! 20 yrs later dada amejinasua na still hatuna imani kama hatojirudisha!
Im just sayong malezi na makuzi ya msukuma wa sample yako yanachangia kiasi kikubwa!
Cousin wangu aliolewa na mwanaume wa kisukuma. Ameteswa mateso yote yaliyoko huku duniani, kupigwa, matusi ya nguoni na viatuni, kunyanyaswa, you name it! 20 yrs later dada amejinasua na still hatuna imani kama hatojirudisha!
Im just sayong malezi na makuzi ya msukuma wa sample yako yanachangia kiasi kikubwa!
habari zenu...
Anyway, sisemi ni wote lakini wanaume wa kisukuma walio wengi wanajua kupenda, wanacare, wataratibu, wastaarabu, wana heshima, etc.
wadada nawashauri jaribu msukuma kama huko kwingine unaona mambo hayaendi.
trust me nimefanya uchunguzi mdogo juu ya hili. i know what am talking about.
NB; sijasema makabila mengine hawajui kupenda...