chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,013
mi ndo nshafika hivyo...na huo uduni wa mwanamke bado sijauona.
Sawa mama tusikuchefue na ngalu wako wa kisukuma....ila hiyo iwe changamoto kwako kujiandaa kutetea hoja unazoleta na lengo letu si kukuchonganisha na baby wako wa kisukuma ...hapana ila ni kutaka uthibitishe na si vinginevyo....enjoy 9t na my husband wako,ila ntakuona unabusara sana siku yakikushinda unitumie kasms kwenye secrety box ,japo sipendi yatokee lakini kwa kigezo chako hicho na niwajuavyo hao mabwana it's soon