Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

Hahaha, usitake kumsema kaka yako Dudu Baya.....


hahahah Sikonge lakini wasukuma na wanyamwezi mbona ni sawa sawa tu..
Ila huyo mrembo hapo juu hajakosea hata kidogo masifa aliyowamwagia yana ukweli..labda ukute wale kichwa maji tu...
 
Last edited by a moderator:
habari zenu...

Anyway, sisemi ni wote lakini wanaume wa kisukuma walio wengi wanajua kupenda, wanacare, wataratibu, wastaarabu, wana heshima, etc.

wadada nawashauri jaribu msukuma kama huko kwingine unaona mambo hayaendi.

trust me nimefanya uchunguzi mdogo juu ya hili. i know what am talking about.

NB; sijasema makabila mengine hawajui kupenda...

unajua wanawake wengi wanapenda wanaume ambao kwao ni raisi kuwadanganya,akimwambia naenda kwa dada nitakaa siku tatu, mwanaume anakubari tu, akisema siku hiz boss wangu kanipangia kazi za jumapili ,mwanaume anakubali kiurahisi . tuseme ukweli wanaume wa kama haya are too inferior kwa wake zao.
 
habari zenu...

Anyway, sisemi ni wote lakini wanaume wa kisukuma walio wengi wanajua kupenda, wanacare, wataratibu, wastaarabu, wana heshima, etc.

wadada nawashauri jaribu msukuma kama huko kwingine unaona mambo hayaendi.

trust me nimefanya uchunguzi mdogo juu ya hili. i know what am talking about.

NB; sijasema makabila mengine hawajui kupenda...
Hiyo kwenye Red nakuunga mkono kabisa wako hivyo, na katika kudo Pia wamo ile mbaya!! Maana kuna mmoja aliwahi kuleta mada ya NDOGO, FUPI, NENE NA TAMU, YA MSUKUMA, MWINGINE AKASEMA COCA NDOGO, Yote hayo ni kwa sababu ya upendo walio nao.

Tetra unanichanganya kwani wewe ni wamishaga Mola????????????????
 
unajua wanawake wengi wanapenda wanaume ambao kwao ni raisi kuwadanganya,akimwambia naenda kwa dada nitakaa siku tatu, mwanaume anakubari tu, akisema siku hiz boss wangu kanipangia kazi za jumapili ,mwanaume anakubali kiurahisi . tuseme ukweli wanaume wa kama haya are too inferior kwa wake zao.

Acha uchokozi bosi wangu!!
 
wengi ? wangapi..au uliokutana nao wewe tu eeenhhh...maana hivyo ni vitu viwili tofauti..kati ya wengi na ambao umekutana nao wewe...

Thanks, to make it clear ni kweli wengi niliokutana nao mimi!! I stand to be corrected!!!
 
Sio mna care ni mabwege

Hata utoke povu vipi, mtoto keshatuzimia sisi. Malezi yetu ndo yanatufanya tuwe hivyo. Na kwa kweli tunagombaniwa kweli hasa ukiwa umekamata na kitabu na ukiongezea na kanisa, utatongozwa kweli na mabinti wote nchini.
Ila na sisi tunawaogopa sana wasichana wa makabila mengine hasa wachaga na wahaya kwani hutaka kuburuza ovyo ovyo. Ukiolewa na sisi, basi ukubali maisha ya ujamaa yaani kaka, dada, shangazi, mjomba, mtoto wa mami n.k. Kwa kifupi uwe mkomunist unayekubali kushare mafanikio na dungu zetu.
 
Hakuna wanaume makini kama wakisukuma wanatambua kuishi na everybody wanawake wachoyo ,waongo, wachovuchovu, wazinzi,wezi wa change, wakororofi , wasio smile hawana nafasi
 
Back
Top Bottom