Natarajia Mbowe kupinga utekelezwaji miradi saba ya ujenzi wa barabara kwa njia ya EPC+ F huku bara

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,239
22,318
Wakuu bado ninasubiri kauli ya Mbowe kupinga "Wazanzibari" kutekeleza miradi mikubwa ya ujenzi wa barabara huku bara. Kwa akili zake za kibaguzi nadhani hili pia lilitakiwa limuume na sio bandari tu. Siku nyingine mmiliki wa CHADEMA atafakari sana kabla ya kuropoka. Kauli yake ya kibaguzi ingekemewa sana na hayati Mwalimu Nyerere kama angekua hai. Au ni mbinu yake ya kuikosesha kura CHADEMA 2025? Hata kama kaamua kumuunga mkono Mama Samia ajitahidi kutumia mbinu salama.
Soma hapa chini taarifa ya wizara ya ujenzi na uchukuzi.

BARABARA ZA EPC+ F HAZITALIPIWA

Serikali imesema kuwa utekelezaji wa miradi saba ya ujenzi wa barabara kwa njia ya EPC+ F haitalipiwa na wananchi watakaotumia barabara hizo kama ambavyo baadhi ya wananchi wanavyodhani.

Kauli hiyo imetolewa jijini Dodoma na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, wakati wa utiaji saini wa miradi hiyo ambayo inatarajiwa kutekelezwa katika Kanda za Kaskazini na Kusini na kujengwa na makandarasi wanne (4).

“Tanzania haina barabara za kulipia mpaka sasa, hivyo upotoshaji unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kulipia kwenye barabara hizi si sahihi kwani barabara hizi ni za kawaida ‘high way’ kama zilivyo barabara nyingine” amesema Prof. Mbarawa.

Prof. Mbarawa amesisitiza kuwa mradi huu ni wa kwanza na mkubwa kutekelezwa nchini kwani utapita katika mikoa 13 na lengo likiwa ni kuboresha mtandao wa barabara nchini na kuongeza ufanisi katika sekta ya usafiri na usafirishaji ili kuchochea uzalishaji katika maeneo zinapopita barabara hizi na kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi wa wananchi na Taifa kwa ujumla.

“Barabara zitazojengwa zitapita katika mikoa ya Morogoro, Ruvuma, Arusha, Manyara, Dodoma, Tanga, Singida, Mbeya, Songwe, Lindi, Mtwara, Simiyu na Iringa na hivyo zitarahisisha usafiri wa wananchi na usafirishaji wa mazao ya misitu, biashara, chakula, uvuvi na ufugaji, malighafi za madini kama vile makaa ya mawe, grafaiti na Chuma”, amefafanua Waziri Mbarawa.

Aidha, Prof. Mbarawa ametaja miradi itakayotekelezwa kuwa ni ujenzi wa barabara ya Kidatu - Ifakara - Lupiro - Malinyi - Kilosa Mpepo - Londo - Lumecha/Songea (km 435.8) , Barabara ya Arusha – Kibaya – Kongwa (km 453.42), Handeni - Kiberashi - Kijingu - Njoro - Olboroti Mrijo Chini - Dalai - Chambalo - Chemba - Kwa Mtoro – Singida (km 384.33), Igawa - Songwe – Tunduma (km 237.9), Masasi - Nachingwea - Liwale (km 175), Karatu - Mbulu - Hydom - Sibiti River - Lalago – Maswa (km 339) na barabara ya Mafinga - Mtwango – Mgololo (km 81).
 
Wakuu bado ninasubiri kauli ya Mbowe kupinga "Wazanzibari" kutekeleza miradi mikubwa ya ujenzi wa barabara huku bara. Kwa akili zake za kibaguzi nadhani hili pia lilitakiwa limuume na sio bandari tu. Siku nyingine mmiliki wa CHADEMA atafakari sana kabla ya kuropoka. Kauli yake ya kibaguzi ingekemewa sana na hayati Mwalimu Nyerere kama angekua hai. Au ni mbinu yake ya kuikosesha kura CHADEMA 2025? Hata kama kaamua kumuunga mkono Mama Samia ajitahidi kutumia mbinu salama.
Soma hapa chini taarifa ya wizara ya ujenzi na uchukuzi.

BARABARA ZA EPC+ F HAZITALIPIWA

Serikali imesema kuwa utekelezaji wa miradi saba ya ujenzi wa barabara kwa njia ya EPC+ F haitalipiwa na wananchi watakaotumia barabara hizo kama ambavyo baadhi ya wananchi wanavyodhani.

Kauli hiyo imetolewa jijini Dodoma na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, wakati wa utiaji saini wa miradi hiyo ambayo inatarajiwa kutekelezwa katika Kanda za Kaskazini na Kusini na kujengwa na makandarasi wanne (4).

“Tanzania haina barabara za kulipia mpaka sasa, hivyo upotoshaji unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kulipia kwenye barabara hizi si sahihi kwani barabara hizi ni za kawaida ‘high way’ kama zilivyo barabara nyingine” amesema Prof. Mbarawa.

Prof. Mbarawa amesisitiza kuwa mradi huu ni wa kwanza na mkubwa kutekelezwa nchini kwani utapita katika mikoa 13 na lengo likiwa ni kuboresha mtandao wa barabara nchini na kuongeza ufanisi katika sekta ya usafiri na usafirishaji ili kuchochea uzalishaji katika maeneo zinapopita barabara hizi na kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi wa wananchi na Taifa kwa ujumla.

“Barabara zitazojengwa zitapita katika mikoa ya Morogoro, Ruvuma, Arusha, Manyara, Dodoma, Tanga, Singida, Mbeya, Songwe, Lindi, Mtwara, Simiyu na Iringa na hivyo zitarahisisha usafiri wa wananchi na usafirishaji wa mazao ya misitu, biashara, chakula, uvuvi na ufugaji, malighafi za madini kama vile makaa ya mawe, grafaiti na Chuma”, amefafanua Waziri Mbarawa.

Aidha, Prof. Mbarawa ametaja miradi itakayotekelezwa kuwa ni ujenzi wa barabara ya Kidatu - Ifakara - Lupiro - Malinyi - Kilosa Mpepo - Londo - Lumecha/Songea (km 435.8) , Barabara ya Arusha – Kibaya – Kongwa (km 453.42), Handeni - Kiberashi - Kijingu - Njoro - Olboroti Mrijo Chini - Dalai - Chambalo - Chemba - Kwa Mtoro – Singida (km 384.33), Igawa - Songwe – Tunduma (km 237.9), Masasi - Nachingwea - Liwale (km 175), Karatu - Mbulu - Hydom - Sibiti River - Lalago – Maswa (km 339) na barabara ya Mafinga - Mtwango – Mgololo (km 81).
Mbowe ni wa kuonea huruma ,sababu haswa hana elimu dunia
 
Mzanzibari hataruhusiwa kushiriki katika miradi hii kama kampuni yake ya ujenzi na/au ubunifu haijasajiliwa kwenye taasisi za JMT za CRB na ERB. Hii ni pamoja na watumishi wake waandamizi.

Amandla...
 
Kuna watauliza Kwa nini Rais Samia anafanya matengenezo Ikulu dar wakati Zanzibar kuna Ikulu.....chuki na ubaguzi hupofusha hata mtu mwenye akili
Hapa ulitaka kuongelea nini maana mfano wako hauna maantik. Rais Samia ni Rais wa JMT na makazi rasmi ya Rais wa JMT ni Ikulu zilizopo Tanzania Bara. Hiyo ya Zanzibar haimhusu. Ila kama kuna Ikulu ya Rais wa JMT Zanzibar atakuwa na haki ya kuzifanyia ukarabati.
Wabaguzi ni wale ambao hawataki chogo atofautiane au ahoji uamuzi wa kiongozi yeyote anayetoka visiwani. Hao ndio wabaguzi maana hawana tatizo chogo akitofautiana na chogo mwenzake.

Amandla...
 
Kuna watauliza Kwa nini Rais Samia anafanya matengenezo Ikulu dar wakati Zanzibar kuna Ikulu.....chuki na ubaguzi hupofusha hata mtu mwenye akili
Yeye ni mwekezaji kutoka Zanzibar. Unaweza kuta huku Bara hakuwa hata na kiwanja.
 
Jitahidi siku kama ya leo uwe bize na mumeo kwenye siku ya kina baba duniani (Father's day). Wewe mwanamke kila saa siasa utavunja ndoa yako.
kwa kuwa wewe umezoea kupigwa mkuyege na mabasha yako unafikir kila mtu anaolewa, jitahidi kwenda kudeki magofu kule zanzibar kwa wauza bandari wanaokupiga kuliko kuparamia madume ya nyani hovyohovyo kama punga linatafta basha.
 
Wakuu bado ninasubiri kauli ya Mbowe kupinga "Wazanzibari" kutekeleza miradi mikubwa ya ujenzi wa barabara huku bara. Kwa akili zake za kibaguzi nadhani hili pia lilitakiwa limuume na sio bandari tu. Siku nyingine mmiliki wa CHADEMA atafakari sana kabla ya kuropoka. Kauli yake ya kibaguzi ingekemewa sana na hayati Mwalimu Nyerere kama angekua hai. Au ni mbinu yake ya kuikosesha kura CHADEMA 2025? Hata kama kaamua kumuunga mkono Mama Samia ajitahidi kutumia mbinu salama.
Soma hapa chini taarifa ya wizara ya ujenzi na uchukuzi.

BARABARA ZA EPC+ F HAZITALIPIWA

Serikali imesema kuwa utekelezaji wa miradi saba ya ujenzi wa barabara kwa njia ya EPC+ F haitalipiwa na wananchi watakaotumia barabara hizo kama ambavyo baadhi ya wananchi wanavyodhani.

Kauli hiyo imetolewa jijini Dodoma na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, wakati wa utiaji saini wa miradi hiyo ambayo inatarajiwa kutekelezwa katika Kanda za Kaskazini na Kusini na kujengwa na makandarasi wanne (4).

“Tanzania haina barabara za kulipia mpaka sasa, hivyo upotoshaji unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kulipia kwenye barabara hizi si sahihi kwani barabara hizi ni za kawaida ‘high way’ kama zilivyo barabara nyingine” amesema Prof. Mbarawa.

Prof. Mbarawa amesisitiza kuwa mradi huu ni wa kwanza na mkubwa kutekelezwa nchini kwani utapita katika mikoa 13 na lengo likiwa ni kuboresha mtandao wa barabara nchini na kuongeza ufanisi katika sekta ya usafiri na usafirishaji ili kuchochea uzalishaji katika maeneo zinapopita barabara hizi na kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi wa wananchi na Taifa kwa ujumla.

“Barabara zitazojengwa zitapita katika mikoa ya Morogoro, Ruvuma, Arusha, Manyara, Dodoma, Tanga, Singida, Mbeya, Songwe, Lindi, Mtwara, Simiyu na Iringa na hivyo zitarahisisha usafiri wa wananchi na usafirishaji wa mazao ya misitu, biashara, chakula, uvuvi na ufugaji, malighafi za madini kama vile makaa ya mawe, grafaiti na Chuma”, amefafanua Waziri Mbarawa.

Aidha, Prof. Mbarawa ametaja miradi itakayotekelezwa kuwa ni ujenzi wa barabara ya Kidatu - Ifakara - Lupiro - Malinyi - Kilosa Mpepo - Londo - Lumecha/Songea (km 435.8) , Barabara ya Arusha – Kibaya – Kongwa (km 453.42), Handeni - Kiberashi - Kijingu - Njoro - Olboroti Mrijo Chini - Dalai - Chambalo - Chemba - Kwa Mtoro – Singida (km 384.33), Igawa - Songwe – Tunduma (km 237.9), Masasi - Nachingwea - Liwale (km 175), Karatu - Mbulu - Hydom - Sibiti River - Lalago – Maswa (km 339) na barabara ya Mafinga - Mtwango – Mgololo (km 81).
Barabara ya
1. Manyoni - itigi - Rungwa - Makongolosi - Chunya ( haipo)
2. Geita - Kahama ( Haipo)
3. Rungwa - Sikonge - Tabora ( ( Haipo)
4. Handeni - Turiani morogoro (( Haipo)
5. Sanya Juu (siha)- Longido Kms 65 ( Haipo)
6. Matundasi chunya- Itumbi ( Haipo)
7.
 
Barabara ya
1. Manyoni - itigi - Rungwa - Makongolosi - Chunya ( haipo)
2. Geita - Kahama ( Haipo)
3. Rungwa - Sikonge - Tabora ( ( Haipo)
4. Handeni - Turiani morogoro (( Haipo)
5. Sanya Juu (siha)- Longido Kms 65 ( Haipo)
6. Matundasi chunya- Itumbi ( Haipo)
7.
Kwenye bajeti inayokuja zitakuwepo
 
Back
Top Bottom