Nitakuroga kijana ππZimwi mmoja weeeee
ππππππππππ
Yakizidi yesMmmmm yakizid muonekano mbaya kama uchafu bora kamoja
Lazima akuache mkuu. Haya mambo huyakuti huko isumve
Ndio maana eti.Mbeya, Tukuyu
Nyoko sana wewe hahahaahahahhaSijui niongee sijui ninyamaze....
Cc:
Wallah sizijui mie.Acha utani basi huzijui shanga??
Cc. ππππNyoko sana wewe hahahaahahahha
Kwahiyo unajikuta nani?Lazima akuache mkuu. Haya mambo huyakuti huko isumve
Kuzaliwa tu Tanga ni advantageousKwahiyo unajikuta nani?
See you thenCc. ππππ
Heheheh nimetaka kuandika kitu, ila wino umeisha....Kuzaliwa tu Tanga ni advantageous
Welcome πSee you then
Tumia wino wa kule kwengineHeheheh nimetaka kuandika kitu, ila wino umeisha....
Bye πππ
Calling youWelcome π
Washauri dada zako pia wavaeUkweli ni kwamba sie wanaume especially mimi manzi akiwa mvaaji wa shanga basi ananimaliza kabisa. Kwanza shanga huleta muonekano mzuri sana pale zinapokuwa zimefanya mizunguko kadhaa kiunoni mwa mdada hivyo basi sie huwa tunasisimka sana na kujawa na uchu tunapoziona kiunoni kwa bahati mbaya siunajua macho hayana pazia bhana kwaio mtoto wa kike unaweza kupata mume kwa uvaaji wa shanga tu.
Vilevile asikwambie mtu bhana shanga zinaongeza ladha hasa kwenye tukio letu pendwa lile la kwenye 6x6 bed. Halafu uzuri wa shanga hutambulisha uhalisia wa mwanamke yaani mtu akiwa na wewe umevaa hizi kitu anafeel kabisa kuwa yupo na super woman.
Nawashauri wadada mlifanyie kazi hili ombi letu
AHSANTENI
View attachment 1682004
Hahahahahaha kumbee, ntaanza kuwaibia sasaWengine sisi mkivaa tu basi ndio ticket mtuibie mpaka mchoke nyinyi kutuibia. Sisi ni mwendo wa ok tu
Hatari sana hii mamboHahahahahaha kumbee, ntaanza kuwaibia sasa