Naomba kama huna ushauri wa maana usicomment hapa please sitaki ugomvi na mtu huku.. Ok tuendelee.
Kwanza napenda kumshukuru mungu juzi last week nilitimiza miaka kadhaa kwa kweli mimi ni mtu mzima sasa sitaki kurudia tena makosa ya utotoni/ujanani. Sasa bwana mimi nina shida moja kutokana na huu uzee nilioingia sometimes nakuwa ni mtu wa hasira hasira na huzuni sana hata kwa vitu vidogo... So natafuta kitu ambacho nitakuwa nafanya ili mind yangu irelax nimenotice ukiwa na accumulation ya vitu kichwani ..unakuwa haupo happy saana!
Naweza kukumbuka hata jambo la huzuni la mwaka juzi naumiaa!sasa nataka nijaribu kitu ambacho kwa muda flani kinanipeleka dunia ingine rafiki zangu walinifundisha pombe ila mimi imenishinda naona chungu sana .. halafu kesho yake kichwa kinauma kama kinataka kutoka nimeshindwa kabisa. Unga nao naona ule unakuwa jinga sana tena useless huku duniani.
Mashost wameniambia bange haina madhara tena inakufanya uwe na nguvu mara mbili eti. Naombeni ushauri...
Copy kwa wavuta bange wote humu ndani kama wapo
Hahahaaaaaaaa! (Its not a laughing matter!)
Ukisikia YALAAAAAAAAH!!!!!! Ujue mtu mzima mwenzio yamemfika na yamemshika pabaya!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mi nakushauri uangalie KOREAN MOVIES ni VERY ADDICTIVE KULIKO BANGE!
Anza na zifuatazo
Worrior Don Soo
The princess's man
City Hunter
The Land of Wind
The painter!!!!!!!
Yani ukitaka maisha yawe shubiri, kutana na bosi mwanamke, hana mume alafu anajifanya mlokole kwenye hayo mambo. Ni kisirani fulu kuanzia asubuh had jioni. Lakini akute mutu wa kumsugua... kazini mtaishi kwa amani.
....Vutaaaa tu,asubuhi puli moja,mchana puli moja na jioni moja....
..kutamani kuvta bangi = kutamani kuwa kichaa, so is just puting things in action..teh tehhhNa akiamka sku inayofata kichaaaa LOL