Natamani kuvuta bange!

Natamani kuvuta bange!

Madhara ya vibuti haya.Umri unaenda husband haonekani.Vuta bangi utampata mvuta bangi mwenzio.
 
Hahahaaaaaaaa! (Its not a laughing matter!)

Ukisikia YALAAAAAAAAH!!!!!! Ujue mtu mzima mwenzio yamemfika na yamemshika pabaya!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mi nakushauri uangalie KOREAN MOVIES ni VERY ADDICTIVE KULIKO BANGE!

Anza na zifuatazo

Worrior Don Soo

The princess's man

City Hunter

The Land of Wind

The painter!!!!!!!
my my my!doing what i do most..
Umesahau IRIS na ATHENA
Hii ni bange tosha after a day of hustling.
 
Naomba kama huna ushauri wa maana usicomment hapa please sitaki ugomvi na mtu huku.. Ok tuendelee.

Kwanza napenda kumshukuru mungu juzi last week nilitimiza miaka kadhaa kwa kweli mimi ni mtu mzima sasa sitaki kurudia tena makosa ya utotoni/ujanani. Sasa bwana mimi nina shida moja kutokana na huu uzee nilioingia sometimes nakuwa ni mtu wa hasira hasira na huzuni sana hata kwa vitu vidogo... So natafuta kitu ambacho nitakuwa nafanya ili mind yangu irelax nimenotice ukiwa na accumulation ya vitu kichwani ..unakuwa haupo happy saana!

Naweza kukumbuka hata jambo la huzuni la mwaka juzi naumiaa!sasa nataka nijaribu kitu ambacho kwa muda flani kinanipeleka dunia ingine rafiki zangu walinifundisha pombe ila mimi imenishinda naona chungu sana .. halafu kesho yake kichwa kinauma kama kinataka kutoka nimeshindwa kabisa. Unga nao naona ule unakuwa jinga sana tena useless huku duniani.

Mashost wameniambia bange haina madhara tena inakufanya uwe na nguvu mara mbili eti. Naombeni ushauri...

Copy kwa wavuta bange wote humu ndani kama wapo
pole sana,nafikiri utakuwa na msongo wa mawazo its better ukamwona physchologist....au jaribu kufanya au kuwaza vitu ambavyo vitakufanya uwe na furaha....fanya mazoezi.....piga marufuku mawazo hasi....jipe mda wa kutosha wa kupumzika....nadhani hayo machache yanaweza kukusaidia!
 
my my my!doing what i do most..
Umesahau IRIS na ATHENA
Hii ni bange tosha after a day of hustling.

in addition........swalow the sun
the slave hunters
my father killed me
memories of murder.........the best korean movie than those u see,,.....will sweap all the stress away ,,......!!
 
Ukikosa bhangi utaamia kwenye unga na wenzie na ndio mwazo wa uteja!!!! Me hata sikushauri utumie hayo makitu.

Unahitaji ushauri wa kina na wabusara sana. But please.... Don't try kuvuta hayo makitu, Utapotea mamito!!
 
Hahahaaaaaaaa! (Its not a laughing matter!)

Ukisikia YALAAAAAAAAH!!!!!! Ujue mtu mzima mwenzio yamemfika na yamemshika pabaya!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mi nakushauri uangalie KOREAN MOVIES ni VERY ADDICTIVE KULIKO BANGE!

Anza na zifuatazo

Worrior Don Soo

The princess's man

City Hunter

The Land of Wind

The painter!!!!!!!
aongezee na 48 hours
 
Suluisho la mawazo kuisha sio bangi mkuu, jaribu kwenda mazoezin kila wkeend unayosema utavuta bangi, ukishatoka oga zako nenda sinema mlimani city, pata yako moja baridi ila ongea na maexpert wa vilevi wakuambie uttumia ipi ambayo aitakusumbua kichwa then rudi home ukapumzike ni hayo tu wakwetu.
 
Ni shetani gani unayemuogopa atakupata uki PM, ili hali unasema unataka kuvuta bange, huyo wa kwenye bange ni nani kama sio huyo huyo shetani.
 
Dhambi ya kujalibu maovu huwa haiishi leo unataka kuonja bange kisa unaskia hasira..haitaishia hapo kesho kutwa utawashwa tgo na kutaka kujalibu kuliwa kabang..
 
zote za kikorea? naziomba basi mkuu
in addition........swalow the sun
the slave hunters
my father killed me
memories of murder.........the best korean movie than those u see,,.....will sweap all the stress away ,,......!!
 
mimi siwezi kuvuta bange bwana nilikuwa nawatania tu
najipenda kuliko chochote
 
Bangi is cool ila kwa wengine inaleta usingizi, ila its goood, you should try bana
 
Wengi wa mateja walivuta unga bila kujijua
wakihisi wanavuta bangi
 
Tumia Kidogo c mbaya kivile mbona hata mjengoni waheshimiwa kibao wanapata?? Ila Usivutie chooni wala usichanganye na ile kitu ya ng'ombe au na kiroba kichwa kitapata moto;
 
Back
Top Bottom