Natamani kuvuta bange!

Natamani kuvuta bange!

Siku zote mwinue Mungu kwa kusema maneno haya:-
Ee Mungu wangu inua moyo wangu ili nikutumikie wewe;
Katika furaha nikuone wewe;
Katika shida na majaribu uwe mwamba wangu;
Katika kukata tamaa uwe tumaini langu;
Katika kazi zangu uwe mwalimu na msimamizi wangu;
Katika hitaji la moyo wangu uwe jibu langu; AMINA.


Nina uhakika hutakuwa na misukosuko tena moyoni mwako. Mungu akutangulie.
 
Naomba kama huna ushauri wa maana usicomment hapa please sitaki ugomvi na mtu huku.. Ok tuendelee.

Kwanza napenda kumshukuru mungu juzi last week nilitimiza miaka kadhaa kwa kweli mimi ni mtu mzima sasa sitaki kurudia tena makosa ya utotoni/ujanani. Sasa bwana mimi nina shida moja kutokana na huu uzee nilioingia sometimes nakuwa ni mtu wa hasira hasira na huzuni sana hata kwa vitu vidogo... So natafuta kitu ambacho nitakuwa nafanya ili mind yangu irelax nimenotice ukiwa na accumulation ya vitu kichwani ..unakuwa haupo happy saana!

Naweza kukumbuka hata jambo la huzuni la mwaka juzi naumiaa!sasa nataka nijaribu kitu ambacho kwa muda flani kinanipeleka dunia ingine rafiki zangu walinifundisha pombe ila mimi imenishinda naona chungu sana .. halafu kesho yake kichwa kinauma kama kinataka kutoka nimeshindwa kabisa. Unga nao naona ule unakuwa jinga sana tena useless huku duniani.

Mashost wameniambia bange haina madhara tena inakufanya uwe na nguvu mara mbili eti. Naombeni ushauri...

Copy kwa wavuta bange wote humu ndani kama wapo

hebu angalia macho ya huyu mshkaji baada ya kukolea bangi

culture-addis ababa - YouTube
 
Naomba kama huna ushauri wa maana usicomment hapa please sitaki ugomvi na mtu huku.. Ok tuendelee.

Kwanza napenda kumshukuru mungu juzi last week nilitimiza miaka kadhaa kwa kweli mimi ni mtu mzima sasa sitaki kurudia tena makosa ya utotoni/ujanani. Sasa bwana mimi nina shida moja kutokana na huu uzee nilioingia sometimes nakuwa ni mtu wa hasira hasira na huzuni sana hata kwa vitu vidogo... So natafuta kitu ambacho nitakuwa nafanya ili mind yangu irelax nimenotice ukiwa na accumulation ya vitu kichwani ..unakuwa haupo happy saana!

Naweza kukumbuka hata jambo la huzuni la mwaka juzi naumiaa!sasa nataka nijaribu kitu ambacho kwa muda flani kinanipeleka dunia ingine rafiki zangu walinifundisha pombe ila mimi imenishinda naona chungu sana .. halafu kesho yake kichwa kinauma kama kinataka kutoka nimeshindwa kabisa. Unga nao naona ule unakuwa jinga sana tena useless huku duniani.

Mashost wameniambia bange haina madhara tena inakufanya uwe na nguvu mara mbili eti. Naombeni ushauri...

Copy kwa wavuta bange wote humu ndani kama wapo

Tafuta mume uolewe achana na bange
 
When was this posted...!??
Smile ushapata bangi? Kama bado mimi najimwaga hapahapa (since hutaki PM)...lunch date ya bangi jumatano...pale polisi sentro..kuna maafande huwa navutaga nao! Tafadhali usichelewe ni saa sita hadi nane wakati wanabadilishana zamu.

Tafadhali fika na hela kibiriti! (NB: bangi haiwashwi na lighter)

NB 2: Usije umevaa gauni/sketi

NB 3: njoo na maji ya kutosha kama unatarajia kurudi kazini zea after.

NB 4: ndo natoka kupiga pafu mwenzio....<nakudorishia>...

I hope nimeandika vitu vya kueleweka..mana bangi bana.

NB 2: hakikisha umekula (sio chips) kabla hujaja.

NB 1: ukifika muulizie afande Mahewa ukiambiwa wa nini sema umemletea mzigo wake.

Alamsikh....
 
Last edited by a moderator:
Vuta, ila kama kichwa chako kibovu piga tizi la nguvu utarelax...
 
mimi siwezi kuvuta bange bwana nilikuwa nawatania tu
najipenda kuliko chochote

Hahahaha Smile mie nilikuwa nasikilizia tu mwisho wake teh teh teh ...............................................:kev:
 
nipo ok kaka ..nayaweza mabo yote katika yeye anitiae nguvu...Jehova
Siku zote mwinue Mungu kwa kusema maneno haya:-
Ee Mungu wangu inua moyo wangu ili nikutumikie wewe;
Katika furaha nikuone wewe;
Katika shida na majaribu uwe mwamba wangu;
Katika kukata tamaa uwe tumaini langu;
Katika kazi zangu uwe mwalimu na msimamizi wangu;
Katika hitaji la moyo wangu uwe jibu langu; AMINA.


Nina uhakika hutakuwa na misukosuko tena moyoni mwako. Mungu akutangulie.
 
Hahahaha Smile mie nilikuwa nasikilizia tu mwisho wake teh teh teh ...............................................:kev:
ila kuna wavuta bange humu balaaa daah acha kabisa
 
ila kuna wavuta bange humu balaaa daah acha kabisa

Umejionea mwenyewe hahahaaaa ndo fashion siku hizi ......stimu za kuranduka hahahaa.......................!:heh::heh:
 
Back
Top Bottom