Baki kama ulivyo hapo tu hutumii kilevi chochote lakini unajihukumu nakujuta je ukianza kutumia hayo maupuuzi si ndio yatakuongoza kuinyofoa roho yako mwenyewe na ukaona unafanya uamuzi sahihi? Smile gani hilo au labandia? Jiamin jipende na ujiheshimu halikadhalika vivyo hivyo wafanyie wanaokuzunguka mbona utaona we ndo unatakiwa uishi hadi mwisho wa duni[Tahadhari dharau kila baya unalotendewa chukulia kama ni zuri kwako maana sidhani kama kuna baya zaidi kama mtu anataka kukudhulumu uhai wako] usiku mwema