Angalizo: Naandika nikiwa hailee
Kijana amani iwe nawe..
kabla sijaendelea kukupa nondo..kwanza naomba jitathmini afya ya akili yako, mitazamo na misimamo yako ktk mambo mbalimbali, uwezo wako wa kujizuia na kua na kiasi(kudhibiti mwili na hisia) na jinsi unavyoishi ktk jamii.
Kama upo 'mentally stable' nakushauri ule dawa ndugu,hii si dawa ya magonjwa (yanayoshambulia seli za mwili) bali ni dawa ya kukuweka huru mbali na mihemuko na viherehere chini ya jua.
Amini nakwambia, utaishi kwa imani na amani itatawala njia zako zisizo na mipaka ya upendo.
Utakua mtu wa tahajudi na fikra za kina pale utakapoielekeza akili yako upande chanya. Na mengine mengi ambayo hukutaraji kuyawaza utayatafutia tafsiri yake kwa uwezo wa Muumba wako.
Vuta marijuana, tenga muda na mahala maalumu pa kuvuta hiyo ganja. Kumbuka Utapata fedheha pale mtu (usiyetaka ajue) akifahamu/akikuona umevuta. Jitahidi iwe siri yako (labda ifahamike kwa watu wako mnaoendana tu).
Kua 'smart' kimuonekano na kichwani, tafuta maarifa ktk vitabu, kwa wakongwe au ktk mtandao. Jitahidi unapofungua mdomo uongee vya kueleweka,usiruhusu upumbavu ukuteke.
Jifunze sana maandishi mema ya vitabu vya dini kwa imani yako, tambua kusudi na nafasi yako ulimwenguni pamoja na hatma yako...kisha acha Mwenye enzi Mungu Yehova/Allah A'control events'.
Sasa kijana hebu enenda ukajitwalie bhangi nzuri (shada tu) iliyokomaa na uvute km ilivyo... tafadhari usichanganye na vitu vingine (sigara kali au gozo) pia usihofu wekundu wa macho, kuhisi kiu,kuhisi njaa nk.. usiruhusu fikra hasi zikuchukue..
Jitahidi kutabasamu
Asalaam aleikum.