Nataka nianze kula mjani

Nataka nianze kula mjani

Jifunze kunyonga mwenyewe kwanza, ingia youtube utapata maelezo ya kutosha.

Day 1. Tulia ghetto funga mlango, choma udi... Nyonga kisha washa...

Wachawi utawasikia tu kwa jirani.
Mpaka Leo mwaka wa 15 sijui kunyonga, labda kwavile sivuti mara kwa mara, ila sijawahi kumaliza mwezi ,.kuna wakati nilifululiza kila wiki, Skanka inanifanya nicheke mpaka nahisi pengine nimechanganikiwa sijui
 
Niaje wakuu ..

Natarajia kuanza kula mjani as a way of boosting my confidence and self esteem, ninachohitaji kujua ni je kuna madhara yoyote ya kiafya yatokanayo na mjani huu mtukufu.

Vipi kuhusu kazi labda abroad haiwezi kuleta noma labda wakikupima afya alafu mjani ukawa detected ..

Karibuni ..
Karibu sana chamani man ndio natoa kitu hapa
IMG_20210811_082847.jpg
 
Huu ujinga wa kujifanya unatafuta high grade ndio wengi huwapelekea kwenye matumizi mengine..

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Huwa nasikia Brenda Fasi yule msouth alianza hvhv nasikia alikuwa anaenda maskan za wabongo Kula ganja so wakaanza kumchanganyia na poda Sasa yye akavutiwa na stimu za ule mjani pasipo kujua kuwa anachanganyiwa na poda,ndio ikawa mwanzo wa gari kuwaka mpka umauti wake( rip Brenda fassie
 
Niwe mkweli..(Am not promoting it though)

Sikuwahi kuvuta bhangi toka utotoni hadi mwaka huu mwezi juzi..nimevuta kama mara 4 kwa interval ya wiki 1 1.

Nimegundua vitu ambavyo pengine nisingevigundua au ingenichukua muda mrefu.
Hujamalizia mzeee
 
Sasa utashangaa itakua opposite ya hicho unachokitarajia baada ya kuvuta.

Kama sababu hizo ulizotaja ndiyo zinakusukuma utamani kuvuta nakusihi usivute, itakua kinyume na matarajio yako.
 
Welcome jua
Kuna dry na mixer.chaguo Ni lako
Mdomo utakuwa mweusi na umelegea
Kunywa maji sana
Inanukaga mno rahisi kushtukiwa
Ikikaa Sana kichwani inaficha homa siku homa ikilipuka RIP in advance
Ukivuta unajistukia hutaki mtu wa familia akujue Kama macho mekundu
Tamu Sana feeling alright hasa ukiwa UnaKula ngoma za hip-hop kina Roma,nikki,ghetto,kad go,ngwair,na wengineo wengi
View attachment 1887668
Umemsahau dizasta vina.... halafu huwa inasababisha heart rate kuwa juu...
 
Vuta shada lile ambalo ni fresh linakua na nta flani ivi ukila dry inabidi uwe na kiberiti kabisa utaenjoy Sana.
Ganja inafaida kuliko hata fegi na pombe
*Kuongeza hamu ya kula
*Kusaidia kupata usingizi kwa wanaokosa usingizi
*Kusaidia kustahimili maumivu ie kwa magojwa yenye maumivu makali kama kansa
*Kuongeza kipato ie kwa nchi ambazo ni legal
NB÷hizo FAIDA utazipata kulingana na aina ya Jani ulilovuta. Tanzania kutumia,kusambaza au kuzalisha ni kinyume Cha sheria japo kuna polisi,vigogo mpaka maprofesa wanatumia
 
Back
Top Bottom