Chica Gee
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 2,139
- 6,083
😂😂😂 simtaki kwanzaHuyo mpare hana hata mia, kapaukiana tu. Jichanganye🤣🤣
😂😂😂 simtaki kwanzaHuyo mpare hana hata mia, kapaukiana tu. Jichanganye🤣🤣
Kumbe 😅, nimeambiwa nitalia na kusaga menoAsikutishe huyo niachie mimi akiona tu "XMs234£s imethibitishwa....." anatakuachia kabisa na huyo mume wake.
We kesho toka na bango lako ntakutetea vizurKumbe familia tuna mwanasheria na hatujui 🙆♂️🙆♂️
Mikwara bubu tu hiyoKumbe 😅, nimeambiwa nitalia na kusaga meno
Sawa ngoja nitulie mwanasheria wangu upoMikwara bubu tu hiyo
Nipo na jopo la wanasheria wenzanguSawa ngoja nitulie mwanasheria wangu upo
😹😹😹Hiyo hata mimi naiweza...Hiyo tu..
Lete ingine hiyo naijua
Naona unaanzia mbali, zama pm kabla nafasi hazijajaa rafiki yake mtoto wa Mkapa😹😹😹Pole Miss.
Mtu mzima dawa.
Naivuta nyota kinajimu kwanza 😂😂😂Naona unaanzia mbali, zama pm kabla nafasi hazijajaa rafiki yake mtoto wa Mkaoa 😹😹😹
Sawa sawaNipo na jopo la wanasheria wenzangu
😹😹😹 Lazima upewe kipaumbele aje USA bongo kuna machafuko..!!Naivuta nyota kinajimu kwanza 😂😂😂
Hapo naona kama kuna vita ya wenyewe kwa wenyewe inanukia.😹😹😹 Lazima upewe kipaumbele aje USA bongo kuna machafuko..!!
Sio inanukia, ishafika.Hapo naona kama kuna vita ya wenyewe kwa wenyewe inanukia.
Si kwa kuchinjana vile.
Haya ndiyo matatizo ya kumpa form four failure ambaye hana distinction yoyote nchi aendeshe.
Hiyo dhana ya Mzanzibari kulipa kisasi ina maswali mengi, ina maana Kikwete, Wambura, Mkunda na Watu wa bara wote wamekubali hivyo?Sio inanukia, ishafika.
Sijui viongozi walikuwa wanawaza nini kuruhusu mauaji kama yale?
Huyu mzanzibar sijui kalipa kisasi kwa mzee wa lupaso!! Inatisha kwakweli watu wanauawa kama kuku..!!? 😭
Huyo bibi yako alikuwa mbele ya muda..!!Hiyo dhana ya Mzanzibari kulipa kisasi ina maswali mengi, ina maana Kikwete, Wambura, Mkunda na Watu wa bara wote wamekubali hivyo?
Wazanzibari mbona na wao wamegawanyika sana na waliouawa ni CUF ambao Samia nao hawampendi?
Inawezekana kuna Wazanzibari hawaumizwi au hata wanafurahia jambo hili, lakini hili ni jambo la CCM si la Wazanzibari.
Nimemkumbuka sana marehemu Bibi yangu.
Mwaka 1995 aliniambia ondoka nchi hii mapema sana kuna vita inakuja, hata isipokuja leo au kesho lakini tunakoelekea si kuzuri.
Nikampigia kura yangu Augustine Lyatonga Mrema, wakaubatilisha uchaguzi wa Dar, kura yangu ikatupwa. Nikawa mnyonge sana. Kura yangu yabjwanza haikuhesabiwa.
Mwaka uliofuata nikapiga kura kwa miguu kuelekea minazi mirefu Vingunguti njiapanda ya Kisarawe na Ulaya, nikayatusua mawingu na KLM mpaka Schiphol then New York City, na sijapata hamu ya kurudi kimoja mpaka keo.
Tumefikia huko Chica! Mbona tumeshakubaliana😅😅😂😂😂 simtaki kwanza