Natafuta MTU mzima wa kunifariji

Natafuta MTU mzima wa kunifariji

IMG_0768.jpeg

Wazee wa doria mtandaoni. “Hata PM, Email”
 
Moyo wangu umeumia Sana jamani
Pole sana aisee, naamini utaumia zaidi utakapokutana na comment za hapo juu na zinazo fuata.
Usijali, kiasili mwanadamu ni muumizaji na muumizwa, hivyo umia sasa kwani baada ya muda kidogo utarejea kawaida.

La kufahamu sisi sote ni wabinafsi, ni mara chache sana kupata faraja kutoka kwa binadamu wenzetu ingawa hamna mahali pengine tunaweza kupata faraja na furaha nje ya mwanadamu.

Pole, jipe moyo kesho itakuwa nzuri zaidi kwako .
 
Moyo wangu umeumia Sana jamani
Niko down Sana
Natafuta faraja tu
Hata pm ,email .
Karibuni

Mtego huu haukamati mtu. Iwe kwa bahati mbaya au kwa makusudi. Unatafuta Danga aka Buzi. Ungeandika hivyo tu. Hayo mengine ya kusema wa kukufariji ni kupaka rangi ya kupendeza na marumaru kaburi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom