Natafuta MTU mzima wa kunifariji

Natafuta MTU mzima wa kunifariji

Moyo wangu umeumia Sana jamani
Niko down Sana
Natafuta faraja tu
Hata pm ,email .
Karibuni
Pole miss!

Pm ipo wazi?

Natumaini itajaa muda si mrefu na roho yako itafarijika mwana familia wetu.

Kwa kuwa mapenzi ni mchanganyiko wa mambo: burudani na shari zake, waweza kutuwekea stori kidogo za upande mmoja namna ulivyoumizwa, ili tushee sote maumivu halafu tumseme huyo 'mtu'?
 
Angalizo nyege nyege, Zitawaponza kuzama zama pm za watu ambao hamuwajui.
Potelea kwa mbali mkuu.

Kwani mbwa kupata jike kwa kunusa nusa tu bila kujua uelekeo halisi lilipo huwa anapungukiwa na nini?

Wanaume tumeumbiwa kuhangaika.

Siendi kukutana na mtu nisiyemjua kichwa kichwa, tajipanga na timu yangu maana ishakuwa ujinga huu sasa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom