Natafuta MTU mzima wa kunifariji

Natafuta MTU mzima wa kunifariji

Huyo ameshakuwa mhenga, makovu mengi ya kuumizwa kila siku. Sitamuweza๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Saivi nataka kabinti kama wewe hivi!๐Ÿคช๐Ÿคช
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜, sasa ndiyo vizuri inakuwa wahenga kwa wahenga

๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ sawa mubaba wangu nipo hapa
 
Natamani ningekuwa moderator nifunge uzi huu usionekane na Wana jf wa kiume nione Mimi tu ila ndiyo hivyo Sina jinsi .
Mimi siji PM wala sikuemail ila ukiona nakufaa njoo mwenyewe uione dunia mpya ya watu tuliohitimu mahaba huko Gendra India
 
Ooooh poor you๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ
Huyo ni mdogo wangu, namjua mimi. Kwisha habari yako.
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ kiufupi nimeyakanyaga, ๐Ÿ˜… mbona alisema amenolewa hadi school of Law
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom