Natafuta MTU mzima wa kunifariji

Natafuta MTU mzima wa kunifariji

Sio la kuamini sana hilo jeshi, mwanzo walikuwa kwa ajili ya wananchi, baadae wakaacha watoto wakauwawa. Kwa hiyo hali yangu na wewe inafanana hivyo?😅
Mwweeeh! Mimi nimeingiaje tena🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

Makubaliano yenu na Chica Gee ndio yako hivyo🤣🤣🤣
 
Mie napendaga unavyoandika
Ni kama unaandika kingereza halafu unatumia google translate ...kiswahili chako unachotumia kuunda sentence huwa ni kasheshe kidogo kueleweka 🤣

I mean...mtu akisoma unachoandika huku akiwa na haraka hawezi kukuelewa

Oooh Joanah, 🤣🤣🤣
:AnkhaPls:unasahau kuzaliwa mtu tukiongea kilugha tuuuuu :Dance:
 
Tahadhari!
Kama unajijua huwa unaichamba serikali ya mama yenu.
Usije kunasa kwenye mtego wa namna hii. Na mbinu nyingnezo kuwen makin think twice
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom