Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,992
- 146,309
Bibi aliona mbali.Huyo bibi yako alikuwa mbele ya muda..!!
Alijua yasingeishia huko, si unaona sasa yamejirudia. Tena safari hii ni mbaya zaidi.
Sema kwa Mrema huwa nacheka sana.!! 😹😹😹
Hii kura yako inakuuma sana, POLE
Ile kura yangu kwa Mrema inaniuma sana kwa sababu ndiyo kura pekee niliyopiga Tanzania. Uchaguzi ule NCCR tulikuwa tushaichukua Dar yote ndiyo maana wakaufuta.
Halafu haikuhesabiwa imetupwa jalalani tu.
Nikasema sasa najiongeza kupiga kura kwa miguu yangu kuelekea duniani huko.