Natafuta mke wa kumuoa, niko serious

Natafuta mke wa kumuoa, niko serious

Habari

Mimi ni kijana mwenye miaka 32
Sifa zangu
Rangi:Mweusi
Kimo:1.70cm Mrefu wastani
Elimu: Bachelors degree ya computer Engineering
Kazi: IT consultants
Mkoa kuzaliwa : Arusha
Kuishi Dar
Dini : mkristo

Mwanamke sifa zake
1.Asiwe mfupi sana
2.Awe mkristo muislam sawa ila awe tayari kubadili dini.
Elimu Angalau aanze na diploma
Umri usizidi 28
Kigezo cha muhimu kabisa ni lazima awe Anaishi Dar
Awe na muonekano kiasi

Kama una vigezo hivi karibu.

Lengo langu ni ndoa.
Tafuta pesa btn tafuta kasichana maeneo unakoishi below 22 yrs kanakoishi na wazazi wake wa kumzaa ukaoe
 
Mwanamke sifa zake
1.Asiwe mfupi sana
2.Awe mkristo muislam sawa ila awe tayari kubadili dini.
Elimu Angalau aanze na diploma
Umri usizidi 28
Kigezo cha muhimu kabisa ni lazima awe Anaishi Dar
Awe na muonekano kiasi
Ukishakuwa serious kwenye kutafuta mke hivi vigezo vyote utaona nonsense.

Suala la kuoa na kuolewa halina formula
 
Habari

Mimi ni kijana mwenye miaka 32
Sifa zangu
Rangi:Mweusi
Kimo:1.70cm Mrefu wastani
Elimu: Bachelors degree ya computer Engineering
Kazi: IT consultants
Mkoa kuzaliwa : Arusha
Kuishi Dar
Dini : mkristo

Mwanamke sifa zake
1.Asiwe mfupi sana
2.Awe mkristo muislam sawa ila awe tayari kubadili dini.
Elimu Angalau aanze na diploma
Umri usizidi 28
Kigezo cha muhimu kabisa ni lazima awe Anaishi Dar
Awe na muonekano kiasi

Kama una vigezo hivi karibu.

Lengo langu ni ndoa.
Ila mwamba unazingua. I doubt kama hata hiyo bachelor ya engineering kama unayo kweli. Yani engineer haujui metrics?

Mwanzo umesema una kimo cha 1.70ft nimekuonyesha kosa ulilofanya still umeenda kurekebisha umetoa 1.70ft umeweka 1.70cm.

Hivi kweli engineer kuna binadamu ana kimo cha centimeter 1.7?

Engineer unatuharibia.
 
Ila mwamba unazingua. I doubt kama hata hiyo bachelor ya engineering kama unayo kweli. Yani engineer haujui metrics?

Mwanzo umesema una kimo cha 1.70ft nimekuonyesha kosa ulilofanya still umeenda kurekebisha umetoa 1.70ft umeweka 1.70cm.

Hivi kweli engineer kuna binadamu ana kimo cha centimeter 1.7?

Engineer unatuharibia.
Ndio maana anahitaji MKE
 
Habari

Mimi ni kijana mwenye miaka 32
Sifa zangu
Rangi:Mweusi
Kimo:1.70cm Mrefu wastani
Elimu: Bachelors degree ya computer Engineering
Kazi: IT consultants
Mkoa kuzaliwa : Arusha
Kuishi Dar
Dini : mkristo

Mwanamke sifa zake
1.Asiwe mfupi sana
2.Awe mkristo muislam sawa ila awe tayari kubadili dini.
Elimu Angalau aanze na diploma
Umri usizidi 28
Kigezo cha muhimu kabisa ni lazima awe Anaishi Dar
Awe na muonekano kiasi

Kama una vigezo hivi karibu.

Lengo langu ni ndoa.
Weee tafuta demu pisi kali muonekano kiasi nao wanashenyentwa tuu. Usiogope kugongewa mke kama unataka ndoa
 
Ila mwamba unazingua. I doubt kama hata hiyo bachelor ya engineering kama unayo kweli. Yani engineer haujui metrics?

Mwanzo umesema una kimo cha 1.70ft nimekuonyesha kosa ulilofanya still umeenda kurekebisha umetoa 1.70ft umeweka 1.70cm.

Hivi kweli engineer kuna binadamu ana kimo cha centimeter 1.7?

Engineer unatuharibia.
Inashangaza sana
 
Sijapania mkuu najaribu kuwaelewesha ambao hawajamuelewa mdau wamuelewe angalau
Unachekesha
Ni kama ile unaongea na mtu kwenye sim haelewi unataman uzame kwenye simu umzaabue kofi na kwa sauti
Unabak kurudia rudia had majiran wanaskia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom