natafuta mke

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Natafuta mke

    Habari za wakati mabibi na mabwana!! Mimi ni kijana umri wa miaka 30 ,kwa moyo wa dhati na udhubutu naomba kuwafahamisha rasmi kuwa maisha ya ubachela yamenifikia kikomo nahitaji mchumba vigezo, Umri kuanzia 23-25 Elimu, kuanzia kidato Cha nne Hadi diploma Kazi -...
  2. hkaka 990

    Natafuta Mchumba

    Mimi ni kijana wa umri miaka 28 mkazi wa Dar es salaam natafuta mchumba ambae ntafunga nae ndoa
  3. Genius Man

    Natafuta mke au mchumba

    Tafadhali naomba nijielezee kwanza: Jina langu naitwa mosses, dini yangu mkristo, mwili wangu wa kawaida wa kimazoezi na nina six pack, urefu wangu kawaida, rangi yangu maji ya kunde, uvaaji wangu smart, sivuti sigara wala sinywi pombe, sina mtoto wala sijawai kuowa, ninaishi dar es salaam...
  4. old mkiva

    Natafuta mke wa kuoa

    Ndugu zangu natafuta mke wakuoa sifa awe muislam elim yoyote awe mikoa jiran na arusha.umri kuanzia 21 mpaka 30.mim sifa zangu ni muislam umri 33 ninaish arusha nimejiajiri.aliyetayar karibu pm
  5. W

    Natafuta mke mkristo miaka 30-41

    Natafuta mke mkristo, umri rejea kichwa cha habari hapo juu. Awe ameajiriwa au kujiajiri. Mcha Mungu anayeamini katika maisha ya upendo baina ya mke na mume. Mimi nina Elimu ya chuo kikuu na ni muajiliwa na ni mtu mwenye hofu ya Mungu. Mengine tutayajenga inbox.
  6. J

    Natafuta mke

    Nahitaji Mke aliye serious kuolewa. Mimi nina miaka 36 Mkiristo. Nahitaji mwanamke mwenye akili ya maisha sana, asiwe na Kiburi, mke muunganisha familia yani ajue kwamba mimi sipo peke yangu nyumbani kwetu, kuna ndugu zangu wengine ambao itabidi angalau mawasiliano mazuri yawepo, nimebaki na...
  7. wanzzuki

    Natafuta mke wa kuishi naye sibagui sichagui

    Wasalam, Habari hum,natafuta mke wakuishi naye sichagui sibagui yoyote sawa kigezo:uwe umeajiliwa(mimi bado nasoma) umri:wowote(mimi 22) Ntakupenda na kukulinda kama mboni ya jicho langu mwaaah!
  8. john issa

    Natafuta mke, uwe tayari kuwa mke muda wowote

    Sifa za mke: 1. Awe muslim 2. Umri chini ya miaka 30 3. Mweupe na urefu wa katikat 4. Umbo la kuvutia 5. Awe tayari kuwa msimamizi wa biashara za familia na sio zake binafsi 6. Asiwe mkali na hasira hasira 7. Awe tayari kupima afya 8. Awe msikivu kwa mmewe, na kauli yangu ndo mwisho 9. Awe...
  9. Z

    Natafuta mke. Nipo mwanza

    Nna miaka 33 natafuta mke awe miaka 24 mpaka 28. Angalau awe na elimu ya form fourna kuendelea. Dini mkristo. 0759123551
  10. muwanjiKT

    Natafuta mke nipo Mbeya

    Nahitaji mke nimuoe asizidi miaka 27 na akubali kucheck afya. Mimi sasa Umri wangu: 27 Kazi : Nimejiajiri Elimu: degree Mkoa: Mbeya Nyumba: Ninayo sijapanga ila ni pagale haijakamilika. Urefu: futi 5.5 Uzito: 60kg
  11. C

    Natafuta mke hata mwenye mtoto

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 1. Ni msomi ngazi ya Bachelor Degree 2. Kazi yangu ni usafirishaji wa mizigo. 2.Dini ni mkristu. SIFA ZA MWANAMKE NINAYE TAFUTA 1. Awe tayari kuolewa. 2. Hata akiwa na mtoto ni sawa. 3. Awe dini yeyote. 4. Awe hajawahi kwenda jela au asiwe na jinai. Aliye...
  12. Mapensho star

    Natafuta mke wa kuoa

    Miaka yangu ni 28 Naishi mkoa wa Iringa Kazi yangu kwa sasa ni machinga Natafuta mke wa kuoa Miaka 22-25 Asiwe na mtoto Awe muwazi na mkweli Mwenye kuheshimu kila mtu Elimu yoyote Awe na nia ya kweli kuanza maisha na mimi
  13. jimmygatete

    Natafuta mke wa maisha

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nina umri wa miaka 27, ni muajiriwa natafuta mke aliye serious. Mimi ni mkristo sharti mke awe mkristo au awe tayari kubadili dini. Nawasilisha.
  14. F

    Natafuta mke wa kuoa

    Natafuta mke wakuoa mwenye umri kuanzia 32 mpaka 38, kabila lolote, Dini awe mkristu. Mimi nina umri wa miaka 35, mkristu pia, kazi ninayo awetayari kupima. Kwa mawasiliano zaidi karibu pm tuma namba au ujumbe kwa email flavianflorian0@gmai.com.
  15. M

    Natafuta mke

    Nahitaji mke wa kuoa awe mkristo umri kuanzia 23 - 33 Awe tayari kuwa mke wa mtu na mwaminifu
  16. F

    Natafuta mke wa ndoa

    Habari, Natafuta mke, nipo serious. Umri ni miaka 29 mpaka 35. Dini: Mkristu na kabila lolote. Nina umri 36 na nimejiajiri pia. Karibu PM.
  17. F

    Natafuta mke kuoa

    NATAFUTA MKE WA KUOA. Jina Flavian. umri 34. Dini Mkristu. Kazi N/jiajiri. Kimo 5.3"ft. Uzito 66kg SIFA ZA MWANAMKE ANATAKIWA KUA. Umri 28-35 Dini Mkristu Kimo 5"ft Uzito 55-65 kg Awe amemalza mambo ya ujana.Awe anajali nakutambua thamani ya mume,awe...
  18. P

    Natafuta mke wa kuoa

    Awe na umri wa miaka kuanzia 45 hadi 50... Awe mfanyakazi mawasiliano PM
  19. COLTAN

    Natafuta mke tajiri

    Naatafuta mke awe tajiri; ~ Nina miaka 30 ~ Sina mtoto ~ Nipo mkoani ~ Sina Mali ~ Nimejiajiri MKe nimtakaye; ~ Awe tajiri ~ Umri 30 kushuka chino ~ Elimu yoyote ~ Usiwe na mtoto (kama unaye awe mmoja tu) ~ Uwe tayari kuja popote au unitumie nauli popote duniani nitakuja ~ Uwe mweupe au mweusi...
  20. R

    Acha nijaribu bahati yangu huenda Mungu atanisaidia. Natafuta mwanamke wa kufanya nae Maisha

    Habari wana JF! Mimi sio mgeni humu jukwaani ila nimekuja na ID mpya kwasababu ID yangu inafahamika na watu kadhaa. Ninatafuta mke mwenye sifa zifuatazo. UMRI: Miaka 18-26 ELIMU: Kuanzia kidato cha nne DINI: Mkristo. Asiwe na mtoto, awe mwembamba, mwenye hofu ya Mungu, asiyependa kuwa mama wa...
Back
Top Bottom