Habari za wakati mabibi na mabwana!!
Mimi ni kijana umri wa miaka 30 ,kwa moyo wa dhati na udhubutu naomba kuwafahamisha rasmi kuwa maisha ya ubachela yamenifikia kikomo nahitaji mchumba vigezo,
Umri kuanzia 23-25
Elimu, kuanzia kidato Cha nne Hadi diploma
Kazi -...
Tafadhali naomba nijielezee kwanza:
Jina langu naitwa mosses, dini yangu mkristo, mwili wangu wa kawaida wa kimazoezi na nina six pack, urefu wangu kawaida, rangi yangu maji ya kunde, uvaaji wangu smart, sivuti sigara wala sinywi pombe, sina mtoto wala sijawai kuowa, ninaishi dar es salaam...
Ndugu zangu natafuta mke wakuoa sifa awe muislam elim yoyote awe mikoa jiran na arusha.umri kuanzia 21 mpaka 30.mim sifa zangu ni muislam umri 33 ninaish arusha nimejiajiri.aliyetayar karibu pm
Natafuta mke mkristo, umri rejea kichwa cha habari hapo juu. Awe ameajiriwa au kujiajiri. Mcha Mungu anayeamini katika maisha ya upendo baina ya mke na mume. Mimi nina Elimu ya chuo kikuu na ni muajiliwa na ni mtu mwenye hofu ya Mungu. Mengine tutayajenga inbox.
Nahitaji Mke aliye serious kuolewa.
Mimi nina miaka 36
Mkiristo.
Nahitaji mwanamke mwenye akili ya maisha sana, asiwe na Kiburi, mke muunganisha familia yani ajue kwamba mimi sipo peke yangu nyumbani kwetu, kuna ndugu zangu wengine ambao itabidi angalau mawasiliano mazuri yawepo, nimebaki na...
Wasalam,
Habari hum,natafuta mke wakuishi naye sichagui sibagui yoyote sawa
kigezo:uwe umeajiliwa(mimi bado nasoma)
umri:wowote(mimi 22)
Ntakupenda na kukulinda kama mboni ya jicho langu mwaaah!
Sifa za mke:
1. Awe muslim
2. Umri chini ya miaka 30
3. Mweupe na urefu wa katikat
4. Umbo la kuvutia
5. Awe tayari kuwa msimamizi wa biashara za familia na sio zake binafsi
6. Asiwe mkali na hasira hasira
7. Awe tayari kupima afya
8. Awe msikivu kwa mmewe, na kauli yangu ndo mwisho
9. Awe...
Nahitaji mke nimuoe asizidi miaka 27 na akubali kucheck afya.
Mimi sasa
Umri wangu: 27
Kazi : Nimejiajiri
Elimu: degree
Mkoa: Mbeya
Nyumba: Ninayo sijapanga ila ni pagale haijakamilika.
Urefu: futi 5.5
Uzito: 60kg
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30
1. Ni msomi ngazi ya Bachelor Degree
2. Kazi yangu ni usafirishaji wa mizigo.
2.Dini ni mkristu.
SIFA ZA MWANAMKE NINAYE TAFUTA
1. Awe tayari kuolewa.
2. Hata akiwa na mtoto ni sawa.
3. Awe dini yeyote.
4. Awe hajawahi kwenda jela au asiwe na jinai.
Aliye...
Miaka yangu ni 28
Naishi mkoa wa Iringa
Kazi yangu kwa sasa ni machinga
Natafuta mke wa kuoa
Miaka 22-25
Asiwe na mtoto
Awe muwazi na mkweli
Mwenye kuheshimu kila mtu
Elimu yoyote
Awe na nia ya kweli kuanza maisha na mimi
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Nina umri wa miaka 27, ni muajiriwa natafuta mke aliye serious. Mimi ni mkristo sharti mke awe mkristo au awe tayari kubadili dini.
Nawasilisha.
Natafuta mke wakuoa mwenye umri kuanzia 32 mpaka 38, kabila lolote, Dini awe mkristu. Mimi nina umri wa miaka 35, mkristu pia, kazi ninayo awetayari kupima.
Kwa mawasiliano zaidi karibu pm tuma namba au ujumbe kwa email flavianflorian0@gmai.com.
NATAFUTA MKE WA KUOA.
Jina Flavian.
umri 34.
Dini Mkristu.
Kazi N/jiajiri.
Kimo 5.3"ft.
Uzito 66kg
SIFA ZA MWANAMKE ANATAKIWA KUA.
Umri 28-35
Dini Mkristu
Kimo 5"ft
Uzito 55-65 kg
Awe amemalza mambo ya ujana.Awe anajali nakutambua thamani ya mume,awe...
Naatafuta mke awe tajiri;
~ Nina miaka 30
~ Sina mtoto
~ Nipo mkoani
~ Sina Mali
~ Nimejiajiri
MKe nimtakaye;
~ Awe tajiri
~ Umri 30 kushuka chino
~ Elimu yoyote
~ Usiwe na mtoto (kama unaye awe mmoja tu)
~ Uwe tayari kuja popote au unitumie nauli popote duniani nitakuja
~ Uwe mweupe au mweusi...
Habari wana JF!
Mimi sio mgeni humu jukwaani ila nimekuja na ID mpya kwasababu ID yangu inafahamika na watu kadhaa.
Ninatafuta mke mwenye sifa zifuatazo.
UMRI: Miaka 18-26
ELIMU: Kuanzia kidato cha nne
DINI: Mkristo.
Asiwe na mtoto, awe mwembamba, mwenye hofu ya Mungu, asiyependa kuwa mama wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.