Natafuta mke wa kumuoa

Natafuta mke wa kumuoa

maandamano

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2025
Posts
686
Reaction score
1,491
Niko Iringa natafuta mke wa kuowa miaka yangu ni 50,nilikuwa nina mke lakini kapata matatizo ya changamoto za akili imebidi nimludishe kwa wazazi wake,mda mwingi nimeishi inje ya inchi toka mwaka 1997 sasa nimeludi Tanzania nimepoteza koneksheni zote maana yake sina marafiki
 
Back
Top Bottom