Natafuta mke wa kumuoa, niko serious

Natafuta mke wa kumuoa, niko serious

Habari

Mimi ni kijana mwenye miaka 32
Sifa zangu
Rangi:Mweusi
Kimo:1.70m Mrefu wastani
Elimu: Bachelors degree ya computer Engineering
Kazi: IT consultants
Mkoa kuzaliwa : Arusha
Kuishi Dar
Dini : mkristo

Mwanamke sifa zake
1.Asiwe mfupi sana
2.Awe mkristo muislam sawa ila awe tayari kubadili dini.
Elimu Angalau aanze na diploma
Umri usizidi 28
Kigezo cha muhimu kabisa ni lazima awe Anaishi Dar
Awe na muonekano kiasi

Kama una vigezo hivi karibu.

Lengo langu ni ndoa.
Wakijs zaidi ya mmoja nigaie na mimi
 
Unataka kuoa au kupiga?
Kwanini lazima awe Dar ni mlima kwamba haami, na udini wa nini mnaenda kufungua kanisa?
Na hiyo Diploma mnaenda kufanyia nini huko ndoani?
Maswali ya kipuuzi kabisa, mbaya zaidi unaweza kuta ni mwanaume unauliza haya maswali! 🤔
 
Habari

Mimi ni kijana mwenye miaka 32
Sifa zangu
Rangi:Mweusi
Kimo:1.70m Mrefu wastani
Elimu: Bachelors degree ya computer Engineering
Kazi: IT consultants
Mkoa kuzaliwa : Arusha
Kuishi Dar
Dini : mkristo

Mwanamke sifa zake
1.Asiwe mfupi sana
2.Awe mkristo muislam sawa ila awe tayari kubadili dini.
Elimu Angalau aanze na diploma
Umri usizidi 28
Kigezo cha muhimu kabisa ni lazima awe Anaishi Dar
Awe na muonekano kiasi

Kama una vigezo hivi karibu.

Lengo langu ni ndoa.
Bwana Consultant, umri wako wa 32, mkeo anapaswa kuwa na miaka 21- 25. Ama atakuwa Chuo au kamaliza mwaka jana.
FPTs wanaingia mtaani, tumia chance vizuri.
 
Habari

Mimi ni kijana mwenye miaka 32
Sifa zangu
Rangi:Mweusi
Kimo:1.70m Mrefu wastani
Elimu: Bachelors degree ya computer Engineering
Kazi: IT consultants
Mkoa kuzaliwa : Arusha
Kuishi Dar
Dini : mkristo

Mwanamke sifa zake
1.Asiwe mfupi sana
2.Awe mkristo muislam sawa ila awe tayari kubadili dini.
Elimu Angalau aanze na diploma
Umri usizidi 28
Kigezo cha muhimu kabisa ni lazima awe Anaishi Dar
Awe na muonekano kiasi

Kama una vigezo hivi karibu.

Lengo langu ni ndoa.
Ukitaka kufurahia mwanamke tafuta mwenye sura personal vinginevyo utakufa na msongo wa mawazo kama huamini muulize mfanyabiashara aliyejiua kule Kilimanjaro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom