doublejeopardize
Member
- Jul 12, 2025
- 31
- 33
- Thread starter
- #101
Mhhhh?Mbona km fulani huyu? Mmmh
Hii JF ni kukaa nayo kimastaaa, Lol
Mhhhh?Mbona km fulani huyu? Mmmh
Hii JF ni kukaa nayo kimastaaa, Lol
Sawa mkuu sema vigezo vyako vizito, ila utapata kila la kheriSoma maelezo hapo hakuna sehemu nimesema aisewe na mtoto.. cha muhimu ni vigezo tuu
Hapo nimeelewaAwe na Diploma tu hata akiwa single mother ila Diploma iwe mbele
Nipe handle yake mkuuKm huyu si anakufaa mkuu?View attachment 3403600
Haya wahi PM mkuu ukafanyiwe vetting labda ni wewe unaeenda kuolewaHapo nimeelewa
Huyu wewe tembelea Hema la Mwamposa utapata Handle yake hapoNipe handle yake mkuu
Mimi sina vigezo na nina ka boyfriend kangu🥲Haya wahi PM mkuu ukafanyiwe vetting labda ni wewe unaeenda kuolewa
Huyo ndio mleta mada mwenyewe.🤣🤣 Mbona mmepania hivi mwenzenu
Sio mimi ila nashangaa tuuHuyo ndio mleta mada mwenyewe.
Mrs Boniface Mwamposa huyuKm huyu si anakufaa mkuu?View attachment 3403600
Ndio mkuu nimempa sampuli tuMrs
Mrs Boniface Mwamposa huyu
Nn?Mhhhh?
Sio chooni...Mwanamke anapatikana popote
Iman inasaidia nin?Kuoa dini pia ni kitu cha muhimu zaidi maan ni cha kimani... Elimu inasaidia
Diploma degree na kuendeleasjui kwanini niliishia fofoho mimi, huwezi tuhurumia jamaniii,,au hadi ao diploma
Kuwa na hofu ya MunguIman inasaidia nin?
Mkuu ni kupambana tu mimi nilianza kitambo mno hadi sasa nakuja kutoboa.Kijana Masikini elekeza mwenzio, ulifanyaje