Natafuta mke wa kumuoa, niko serious

Natafuta mke wa kumuoa, niko serious

Kwanini ni lazima awe anaishi Dar? Au jioni atakua anarudi kwao?
Nitajibu kwa niaba, naona akiwa Dar itarahisisha zaidi mchakato wa Ndoa uwee wa haraka zaidi yaan wiki 2 tayari washaoana, naomba swali lingine tafadhari mkuu
 
Habari

Mimi ni kijana mwenye miaka 32
Sifa zangu
Rangi:Mweusi
Kimo:1.70ft Mrefu wastani
Elimu: Bachelors degree ya computer Engineering
Kazi: IT consultants
Mkoa kuzaliwa : Arusha
Kuishi Dar
Dini : mkristo

Mwanamke sifa zake
1.Asiwe mfupi sana
2.Awe mkristo muislam sawa ila awe tayari kubadili dini.
Elimu Angalau aanze na diploma
Umri usizidi 28
Kigezo cha muhimu kabisa ni lazima awe Anaishi Dar
Awe na muonekano kiasi

Kama una vigezo hivi karibu.

Lengo langu ni ndoa.
Dini : mkristo
Habari

Mimi ni kijana mwenye miaka 32
Sifa zangu
Rangi:Mweusi
Kimo:1.70ft Mrefu wastani
Elimu: Bachelors degree ya computer Engineering
Kazi: IT consultants
Mkoa kuzaliwa : Arusha
Kuishi Dar
Dini : mkristo

Mwanamke sifa zake
1.Asiwe mfupi sana
2.Awe mkristo muislam sawa ila awe tayari kubadili dini.
Elimu Angalau aanze na diploma
Umri usizidi 28
Kigezo cha muhimu kabisa ni lazima awe Anaishi Dar
Awe na muonekano kiasi

Kama una vigezo hivi karibu.

Lengo langu ni ndoa.
"Dini : mkristo"! Unamtaka wa kufungua naye kanisa?
 
Mleta mada umefanya haraka sana kuitumia ID yako ya zamani humu,

Ungesubiri kwanza,yani nimeshaijua ID yako ya zamani tayari,yani unatumia ID yako ya zamani kujipigia debe na kuwafahamisha wachangiaji.

😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom